WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Amina.hongera, nikutakie siku njema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amina.hongera, nikutakie siku njema
Subiri siku mkitawaliwa na Waarabu akili zitarudi tu.Tukiwaambia kuwa CCM ni janga mnasema sisi ni mawakala wa Mabeberu(yaani Wazungu) kumbe lengo lenu ni kuuza nchi kwa Waarabu.Uwanja wa taifa nao unahitajika kukodoshwa ule, maana naona unazidi kuchakaa huku uendeshaji ukiwa mbovu na kuupotezea sifa.
Watanzania hawa wasioweza kuendesha hata uwanja wa taifa ndiyo mnatarajia waendeshe bandari?