Tetesi: Kwa HESHIMA ya mama yake Trump ataapa kwa kutumia Biblia MBILI

Tetesi: Kwa HESHIMA ya mama yake Trump ataapa kwa kutumia Biblia MBILI

shige2

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2016
Posts
8,106
Reaction score
3,966
Wana Jamvi kuna jambo limeishangaza kuhusu Trump.Huyu jamaa hakosi VITUKO.
Inasemekana AMEOMBA kutumia biblia MBILI wakati AKILA KIAPO cha URAIS kama rais wa 45 wa Amerika.
Bibila ya kwanza ni ile iliyotumika kumwapisha Rais Abrahamu Lincolin mwaka 1861.

Na Biblia ya PILI ni ile aliyopewa na MAMA yake mwaka 1955 alipofuzu masomo ya KANISANI utotoni yaani Sunday school.

Alisema hii ni kwa ajili ya KUMHESHIMU mama yake.
Wana jamvi je kuna lolote twaweza kujifunza kutokana na kitendo hiki?
 
Duh...

Mzee haishi vituko. ....

Ila yote sawa tuu maana hata wakiapa na Biblia moja huwa wengi hawafuati sana hivyo viapo. .... Wakishaapa wanasahau kabisa .....


Hapo ni kufanya mazoea tuu.....
 
Hakuna cha kujifunza hapo zaidi ya ujuaji mwingi
 
Nipo job saiz..nisaidien anaapishwa saa ngapi?..walau nchek kwa simu yangu
 
Trump yupo vizuri sana kuliko kale ka bibi kangekuwa rais wa marekani matukio ya kigaidi duniani yangekuwa mengi halafu wanaume heshima yetu ingepungua sana.
 
Nipo job saiz..nisaidien anaapishwa saa ngapi?..walau nchek kwa simu yangu
Sherehe zitaanza saa 10;30 jioni saa zetu. Na ataapishwa saa 2 usiku. Kama sikosei.
Kabla ya hapo watahudhuria IBADA pamoja na makamu wake na wengine katika kanisa la Episcopal karibu tu na Ikulu ya Marekani.

Kabla ya kwenda Ikulu ya White House ili kukutana na Obama na kuonyeshwa makao yake mapya.

Na mwisho Obama na Trump wataelekea pamoja kwenda Capitol Hill kwenye sherehe ambazo zitaendelea mpaka ASUBUHI kwa saa zetu kama sikosei
Hivyo una muda wa kutosha!
 
Back
Top Bottom