Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua ratiba yote hii mkuu, lakini hujui jioni familia yako itakula nini ndugu!!!Sherehe zitaanza saa 10;30 jioni saa zetu. Na ataapishwa saa 2 usiku. Kama sikosei.
Kabla ya hapo watahudhuria IBADA pamoja na makamu wake na wengine katika kanisa la Episcopal karibu tu na Ikulu ya Marekani.
Kabla ya kwenda uwanjani kwa ajili ya sherehe. Sherehe zitaendelea mpaka ASUBUHI kwa saa zetu kama sikose!
Hivyo una muda wa kutosha!
Ninabahatisha tu mkuu. Siyo kwamba ninajua. Nitanunua ka nyama hivi nile na wali. Kesho itajijua yenyewe.Unajua ratiba yote hii mkuu, lakini hujui jioni familia yako itakula nini ndugu!!!
Watanzania tubadilike wallahi.
Kafanya nini trump hata awe mpumbavu?pumbavu trump( dump
Tehe tehe...safi sana mkuu. Tunaishi kiuhalisia sasa, sio mambo ya kwenda uhindini kula chips sekela..haha.Ninabahatisha tu mkuu. Siyo kwamba ninajua. Nitanunua ka nyama hivi nile na wali. Kesho itajijua yenyewe.
Ama unaonaje mkuu
Yeeahp, people get lost koz hawayachunguzi maandikoRosario na Jesuits power in action