Ni sawa lakini nini tunaweza kujifunza hapo?Nimeipenda hiyo sana, heco Trump.
Ni sawa lakini nini tunaweza kujifunza hapo?
IStrump wawapi?
Wamarekani wanamfaahafai kuwa raisi huyu
Sherehe zitaanza saa 10;30 jioni saa zetu. Na ataapishwa saa 2 usiku. Kama sikosei.Nipo job saiz..nisaidien anaapishwa saa ngapi?..walau nchek kwa simu yangu