Angalia kama bado upo kwako au ushaelea mpaka ZenjiDuuuh miye toka niingie bed saa 3 sijasikia chochote mpk muda huu ndiyo naona maji nje.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], ilitakiwa uwepo mageton ndo inyeshe siku 40 .Ilitakiwa inyeshe kama ya kipindi kile cha nuhu, hata siku 2 mfululizo hivi non stop...kwani kuna ubaya..!?
Niko poa mkuu na hv naanza safari ya kutafuta ridhiki.Angalia kama bado upo kwako au ushaelea mpaka Zenji
Hapo sawaNiko poa mkuu na hv naanza safari ya kutafuta ridhiki.
Mzee naona nyumba yako ni jahazi , limepaki unatuombea tusombwe wewe uchomoe nangaIlitakiwa inyeshe kama ya kipindi kile cha nuhu, hata siku 2 mfululizo hivi non stop...kwani kuna ubaya..!?
Eee mzee baba,.nuhu alikuwa babu yangu aliniachia lile dude yaani natamani lipate mvua ya kutosha linyanyuke yaani..Mzee naona nyumba yako ni jahazi , limepaki unatuombea tusombwe wewe uchomoe nanga
Niwe magetoni kwako auu..?๐[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], ilitakiwa uwepo mageton ndo inyeshe siku 40 .
Kwa siku 40 alaaaaaa kitumbo kinajaaa
Hahahah! Nakushauri uwe na kamtumbwi kako ndani ili likitokea la kutokea basi naelea zako tu..Hii mvua inayopiga usiku wa leo, kama upo maeneo yanayokumbwa ma mafuriko kila mwaka jijini Dar, kesho una kibarua cha kutoa maji na tope ndani. Kudadeq hii kitu TMA hwwakutuambia hii.
Uzi ndio tayari, wacha server zijae tu.
Eeehh My mageton kwangu[emoji8]Niwe magetoni kwako auu..?[emoji23]
Unahamaje kwa mfano etiii..??Hahahahhahahaaha....jamani sihami tz mie
ndio mda mzuri wa kushinda na Alu wangu ๐๐๐๐๐Hii mvua inayopiga usiku wa leo, kama upo maeneo yanayokumbwa ma mafuriko kila mwaka jijini Dar, kesho una kibarua cha kutoa maji na tope ndani. Kudadeq hii kitu TMA hwwakutuambia hii.
Uzi ndio tayari, wacha server zijae tu.
siku 40.. siku mbili hazitoshi.. mvua zinaisha na bibie anatoka na mimbaIlitakiwa inyeshe kama ya kipindi kile cha nuhu, hata siku 2 mfululizo hivi non stop, kwani kuna ubaya?
Inaweza kuwa unyakuo.. unatoka nje unshangaa kitaa kizima umebaki peke yako wamekuachia kila kitu, ukipiga simu zinaita tu๐kingekuwa kiama hata nguvu ya kupost humu ungekuwa nayo.!?lol
Babu yako hakuwa na roho kama iyo mzee, na hata mwanae alipompinga lakin aleweza kumuita aingie kwenye chombo.Eee mzee baba,.nuhu alikuwa babu yangu aliniachia lile dude yaani natamani lipate mvua ya kutosha linyanyuke yaani..
Bado bado kidogo,kuna unabii haujatimia bado..Inaweza kuwa unyakuo.. unatoka nje unshangaa kitaa kizima umebaki peke yako wamekuachia kila kitu, ukipiga simu zinaita tu
Potelea pote,. inyeshe tuu tuliamshe duudee๐๏ธ๐๏ธBabu yako hakuwa na roho kama iyo mzee, na hata mwanae alipompinga lakin aleweza kumuita aingie kwenye chombo.
Wewe hii tabia utakua umerithi kwa bibi yako.
ohoooo... Unabii gani.. mie mbona nachart nikiwa na Nabii Isaya mtaa wa gold huku mbinguni ๐๐ cheki cheki.wenzako.. usijekuwa umebaki na Mad MaxBado bado kidogo,kuna unabii haujatimia bado..