Kwa hii mvua, kesho mtasikia Dar imezama

Kwa hii mvua, kesho mtasikia Dar imezama

Hii mvua inayopiga usiku wa leo, kama upo maeneo yanayokumbwa ma mafuriko kila mwaka jijini Dar, kesho una kibarua cha kutoa maji na tope ndani. Kudadeq hii kitu TMA hwwakutuambia hii.

Uzi ndio tayari, wacha server zijae tu.

TMA wakiona mvua wanakuja na story zao na mungu anakatisha mvua wakinyamaza mungu analeta mvua sijui kwa nini CAG hawawachunguzi TMA
 
TMA wakiona mvua wanakuja na story zao na mungu anakatisha mvua wakinyamaza mungu analeta mvua sijui kwa nini CAG hawawachunguzi TMA
Yale ni makadirio ambayo yana base kwenye asilimia na hua yanabadilika
 
Watu wa Dar mnazingua sana hivi hamjui kuwa hiki ni kipindi cha mvua za masika au ndio kujitoa fahamu, laiti ungekua unaishi moja ya mikoa ya huku nyanda za juu kusini si ndio kila siku ungeanzisha uzi.
Wanaume WA huku hata mende akiingia chumbani anaanzisha Uzi huku amepanda kwenye mlango.
 
Kwa mvua hizi Itabidi mgeuke kuwa kambale kwa muda
 
Back
Top Bottom