Nyimbo yake how? Kaangalie video soma tena.Bado natafakari! Kama naona ukweli fulani hivi. Maana hata ngoma yake aliotoa na wale Wajamaika,siku ya 10 leo bado anajikongoja kutafuta 1M views. Au kwa sababu kashirikishwa au wimbo siyo nzuri? Lakini
Nyimbo yake how? Kaangalie video soma tena.
" anajikongoja kutafuta " ulikuwa unamaanisha nn.Usikurupuke uwe unasoma post yote. Ndiyo maana kuna kiulizo hapo. "Au kwa sababu kashirikishwa"
hahaaUnauliza au unaeleza? Kwan ladha ya Diamond unaijua?
hahaa[emoji848]View attachment 911989
Hhhha unafaa kua AFisa mpelelezHapa kuna lugha gongana bila shaka. Kuna mmoja hajamuelewa mwenzake, kakurupuka tu kumshambulia