mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,525
- 1,171
Tatizo watu tukiambiwa tuingie kwenye courtship kabla ya ndoa tuna waza kutoana out na kulewa na kungonoka mpaka tunasahau maana halisi ya uchumba.
Trust me ukikaa na mtu vizuri ikupasavyo kwenye uchumba utamjua tu! hata apretend vipi, tabia sugu za mtu zitakuwa zina popup na yeye anazi suppress ukimsoma vizuri utajua tu....
Kwa mfano kama mbeya atajisahau tu siku ataanza kukueleza habari za umbeya..
Kama namchukia ndugu yako siku wakiwa wote utaona tu anabadilika tofauti na anavyokuwa na wewe...
Kama mchoyo do I need to explain? Utaona tu the way anavyobehave na vitu vyake...
Ni kweli kabisa na pia ukae na mtu angalau miaka miwili ndo muoane sa unakuta mtu kapata demu after 6 months anaoa ndo inapokulaga kwao hapo