Kwa hiki kilichotokea; Watumishi wa umma bora wafe tu

Sehemu yoyote ambayo mtumisi anajihisi amepata kazi kama FEVA, hawezi pambania haki yake..!!
 
Sijakuelewa mfano mimi ni mtumishi muhasibu wa ttcl mkoa wa songea enhe naanzaje kumuondoa kiongozi dhalimu au unamaanisha nini fafanua yaani nife tu ndo unachotaka
Amevurugwaa huyo
 
Sijakuelewa mfano mimi ni mtumishi muhasibu wa ttcl mkoa wa songea enhe naanzaje kumuondoa kiongozi dhalimu au unamaanisha nini fafanua yaani nife tu ndo unachotaka
πŸ˜…πŸ˜…πŸ™πŸ™
 
Naskia leo wamesema patakua na mvua kubwa huko daslam, kwani kuna nini tena huko umani...😳
 
Wazungu Wanasemaga β€œ If you stand for a reason be prepared to stand alone like a tree 🌳 and if you fall fall like a seed that grows back to fight again β€œ
πŸ™πŸ™
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Msome Mwalimu Nyerere acha kupuyanga! Hata post ujasoma inalenga nini
Mwalimu Nyerere ameandika vitabu vingi sana ni kipi alichotamka maneno hayo? Kama umesikiliza speech yake huko You Tube unataka kusema kuwa kuna speech moja tu ya Nyerere huko? Wewe ndiye unapuyanga na kuandika ujinga tu.
 
Kuwaondoa viongozi dhalimu ni jukumu la wananchi wote na si watumishi wa umma peke yao.
 
Kada ya Elimu basi tu Mkuu
 
Sijakuelewa mfano mimi ni mtumishi muhasibu wa ttcl mkoa wa songea enhe naanzaje kumuondoa kiongozi dhalimu au unamaanisha nini fafanua yaani nife tu ndo unachotaka
Siku KIKOKOTOO kimekutwishwa kichwani huta subiri ushauri...tumbo halina laifuspani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…