Kwa hiki kilichototea bungeni. Je, kwa ubabe huu tunahitaji katiba mpya au Watanzania tuamke tudai nchi yetu?

hiyo maandmano ndiyo shughuli ya maendeleo?
Hapana.

Maandamano sio shughuli ya maendeleo ila ni shughuli inayoweza kuchochea mabadiliko na kuleta fikra chanya kwa viongozi wasiotaka kubadilika na kuleta unafuu kwenye maisha ya mtanzania wa hali ya chini.

Maandamano ni njia ya kuonyesha kwamba wananchi haturidhishwi na utendaji wa kiongozi au na utolewaji wa huduma au haki muongoni mwetu.

Maandamano ni njia ya kuwashinikiza kuwakumbusha na hata kuwalazimisha kwa nguvu viongozi wanaoenda kinyume na katiba na sheria kufuata katiba na sheria.

Ndiyo maana nchi zinazojielewa zote maandamano hayapigwi marufuku kama alivyofanya yule mungu wenu jiwe.

Umeona wafanyabiashara wa kariakoo walivyogoma viongozi wa serikali walikuja kuwasikiliza na kuyajenga na nchi ndiyo inatakiwa iendeshwe hivyo.
Hivi mkiachwa mnaandamana hata kila siku mtabadilisha nini?
Kama hatutabadilisha kitu kwanini mnatumia nguvu kubwa kuzuia maandamano.

Mnatumia mpaka jeshi la wananchi kuzuia maandamano kijanja achilia mbali poliCCM.

Kama hatutabadilisha kitu si mtuache.
Unato mfano wa watu wapumbavu km wakenya?
Haya ni mawazo yako tu.

Kenya wapo juu yetu kiuchumi kisiasa na hata kielimu.

Mtu aliyekuzidi vitu hivyo katu hawezi kuwa mpumbavu.
Acheni upumbavu fanyeni kazi, mbona wakulima hawa muda huo wa kijinga nyakati zao za kilimo
Hata wakulima wanaisoma namba kama watanzania wengine.
Jiwe alivyoharibu kilimo cha korosho mtwara usifikiri wakulima walifurahi.

Ni uoga wetu tu watanzania ndo ulifanya wakae kimya.
Wakulima ni mfano mzuri wa wachapakazi nchi hii hawana malalamiko ya kipuuzi
Hapa umeamua tu kudanganya.

Wakulima mpaka sasa hawana soko la uhakika la bidhaa zao na wakiuza wanauza kwa bei ya hasara kupitia madalali bado useme hawalalamiki na ni wachapa kazi.Una matatizo sio bure.
Ingekua enzi ya jiwe angewanyanganya na leseni kabisa,
Huu ni ubabe na ni kinyume kabisa cha katiba na sheria.

Ubabe aujawahi kuwa staili nzuri ya kuongoza na mwisho wake uwa ni mbaya sana.
Mambo ya kipuuzi mengine hayawezi kujitokeza.
Maandamano kupinga huduma mbovu au maamuzi mabovu ya viongozi sio mambo ya kipuuzi ni mjinga tu ndo anaweza kudhani hivyo.
 
Mbona hata sasa aiheshimiwi na hiyo kazi nyingine hatuioni?
Haiheshimiwi kwa sababu kuna zuzu mmoja amepewa madaraka makubwa ya kuinyaga na wale machawa wake wanaringa kwa kuwa hawara yao anawalinda. Hiyo kinga ambayo ndio leseni ya wizi ndio wanayo ringia
 
Mwacheni Mabula amalizie ghorofa yake ya Nyasaka-Maduka Center!
 
Binadamu siku zote ni mbinafsi; hata sisi tungekuwa mle ndani tungefanya hayo hayo kwa maslai yetu binafsi
 
Nimekaribu ku THINK BIG nikaingia ubia na ben Carlson,

Baadae ya serikali ya Sasa kua na mlengo wa democrasia na utawala wa KATIBA,

Kutokana na Bunge lote kua la chama Cha CCM baada ya ule uchafuzi wa 2020,

Wanaanza kutufanyia futuhi (Drama) Ili ionekane kana kwamba Kuna minyukano ya hoja na sio bunge la NDIYO......

Ni maoni yangu Kwa mtazamo wangu..
 
Reactions: RNA
Hata huku marekani nao wana mapungufu yao lkn yetu ni kijinga kupita kiasi.
 
Reactions: RNA
Maoni bora kabisa
 
Kutoka 14:14
BWANA atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.
 
Reactions: RNA
Kesho wajinga utawaona wamevaa matisheti na makofia yakishangilia
 
Reactions: RNA
Uko sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…