Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kuwa serikali haina fdha za kuajili. Ratio ya MD to patients according to WHO inabidi iwe as per this quotationNafasi moja au mbili ya medical doctor kugombaniwa na watu 600+ ni ishara kwamba tuna medical doctors wengi tu mtaani wako jobless.
Hata usishangae mbona kawaida sana..na hali inenda kuwa mbaya zaidi..mbona tuko nao kitaa tunapiga umachinga.Nafasi moja au mbili ya medical doctor kugombaniwa na watu 600+ ni ishara kwamba tuna medical doctors wengi tu mtaani wako jobless.
Wapo wengi kitaa na vituo vingi vya afya kila kata vipo tu na havina watumishiNafasi moja au mbili ya medical doctor kugombaniwa na watu 600+ ni ishara kwamba tuna medical doctors wengi tu mtaani wako jobless.
Tatizo pia la wabongo tunaogopa kuzamia nje ya nchi sio lazima wote waajiriwe bongo.. tujiongeze jamani..Ni kuwa serikali haina fdha za kuajili. Ratio ya MD to patients according to WHO inabidi iwe as per this quotation
According to World Health Organization, the Tanzanian doctor to patient ratio stands at 1 for every 20,000 patients, whereas the recommended ratio should be one to 300 patients. This shows that our country is in a great need for doctors...This as of 20 Apr 2021
Kwa mfumo wa elimu yetu ya kukariri hata huko nje ya nchi hatuwezi kutamba !Tatizo pia la wabongo tunaogopa kuzamia nje ya nchi sio lazima wote waajiriwe bongo.. tujiongeze jamani..
Afu una type ukiwa bongo [emoji23][emoji23]Tatizo pia la wabongo tunaogopa kuzamia nje ya nchi sio lazima wote waajiriwe bongo.. tujiongeze jamani..
Wengi sana zaidi ya ufikiriavyo.Nafasi moja au mbili ya medical doctor kugombaniwa na watu 600+ ni ishara kwamba tuna medical doctors wengi tu mtaani wako jobless.
DaaahhMadaktari wamekuwa wengi kuliko wagonjwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kada za Afya hazitajaa kwa urahisi hivyo.Nafasi moja au mbili ya medical doctor kugombaniwa na watu 600+ ni ishara kwamba tuna medical doctors wengi tu mtaani wako jobless.
Do we have qualifications as per their standards? magufculi alikisideline kiingereza, unakwenda nje kuongea lugha gani? Kiswahili?Tatizo pia la wabongo tunaogopa kuzamia nje ya nchi sio lazima wote waajiriwe bongo.. tujiongeze jamani..
Nawagonjwa sasahivi wanajitibu wenyewe..mtu anagugo dalili za ugonjwa kisha anenda famasi kupata dawa.Madaktari wamekuwa wengi kuliko wagonjwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwajiri mkubwa ni serikali..hakuna siku itaweza ajiri graduates wote wa afya..na hivi kila mwaka vyuo vinaongeza idadi ya wahitimu...endelea kujioa moyo.Kada za Afya hazitajaa kwa urahisi hivyo.
Waliopo kwenye utumishi ni nusu ya mahitaji kabla ya 2015
Kwa kasi nzuri ya Serikali katika kuongeza Idadi ya vituo vya Afya na Hospital nchini itafanya mahitaji yawe zaidi ya robo tatu ya waliopo endapo Serikali haita ajiri kulingana na ikama/mahitaji.
Kada za Afya hazitajaa kwa urahisi hivyo.
Waliopo kwenye utumishi ni nusu ya mahitaji kabla ya 2015
Kwa kasi nzuri ya Serikali katika kuongeza Idadi ya vituo vya Afya na Hospital nchini itafanya mahitaji yawe zaidi ya robo tatu ya waliopo endapo Serikali haita ajiri kulingana na ikama/mahitaji.