Kwa hiki ninachokiona kwenye pdf za utumishi, kozi za afya na zenyewe ni kama zimeanza kujaa

Ni huyo mimii
 
Do we have qualifications as per their standards? magufculi alikisideline kiingereza, unakwenda nje kuongea lugha gani? Kiswahili?
Lugha muhimu ndio lakini hii kwa sasa sio sera ta taifa, so ni mtu mwenyewe kujiongeza kujua lugha na kuzamia mwenyewe nje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…