Nawagonjwa sasahivi wanajitibu wenyewe..mtu anagugo dalili za ugonjwa kisha anenda famasi kupata dawa.
Wagonjwa wengine wamejazana kwa mwamposa.
Ukiona mtua anenda hospitali jua kajitibia kashindwa kupona ndio anajisogeza hospitali.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using
JamiiForums mobile app