kwa hili alilofanyiwa malcom ni ubaguzi mkubwa na haufai kwenye soka!

kwa hili alilofanyiwa malcom ni ubaguzi mkubwa na haufai kwenye soka!

Halafu kuna Waafrika wenzangu (weusi) utashangaa likitokea timbwili la Russia vs USA, wengi wao wanakuwa upande wa Russia.Hawa Warusi ni wabaguzi kinoma! Pamoja na kwamba Marekani ubaguzi bado ungalipo,lakini Urusi wamezidi.Kwa ufupi,nchi za Mashariki (za Kijamaa) zina ubaguzi mkali zaidi kuliko nchi za Magharibi (za Kibepali).Mfano,Angalia tofauti ya maisha ya Mwislamu anayeishi China na yule anayeishi US.
Kweli Mkuu
 
Haya mapenzi tungeyapeleka Mbao FC na kina Mtibwa....., huenda watembeza Bakuli wasingefanya hivyo...
 
Back
Top Bottom