Kwa hili bado kuna Mtanzania anayehoji PhD ya Waziri Mwakyembe?

Kwani umeweka nia ya kugombea kile kiti au kuna unaempigia kampeni akinyakue? Hao ndio wanaodukuliwa

Shabiby alidukuliwa Akimtongoza DC mmoja japo hana nia ya kugombea Urais , Mzee akamchana

Waziri wa Afya alidukuliwa akigombana na Katibu Mkuu wa Tamisemi, Mzee akasema akaamua kuwaweka pamoja


Mzee Baba akiwa free anasema tu em nipeni message au audio za fulan nisikilize

Ukubwa raha sana

Ukiwa Mkubwa ukifanya lolote lenye ukakasi Wapambe wako wnakutetea wanasema ‘... Kafanya kwa nia njema kwa maslahi ya Taifa ...’
 
Dah! Amakweli wakubwa wanafaidi! But seriously its not fair. The same thing akifanya raia ni criminal offence.....serious offence

Hata kama katiba au sheria ya usalama wa taifa inatoa mamlaka kwa watu fulani ku access mawasiliano ya faragha ya watu wengine nadhani mamlaka hayo yana mipaka ikiwa ni aina ya mazungumzo ya kudukua na na pili ni kutokuyaweka hadharani kama ilivyofanyika kwenye case mbili ulizozitaja
 
Wasomi wa Kiafrika walioelimika kweli kweli wapo duniani. Hawa mnaowaona bongo kama wakina Kabudi na Mwakyembe ni wale ambao PHd zao ni za kuunga unga ndio maana hawawezi kutendea haki huo usomi ambao kimsingi hawana.
 
Si mlikuwa mnafurahi alipokuwa anadhalilishwa Yusuph Manji? sasa zamu yenu,jambo la kujifunza ni kwamba usifurahie mwenzio anapopata shida coz hujui kesho itakuwaje
 
Kwel.ccm inaharibu uwezo wa kufikiria wa ma phd wetu. Ilianza na yule propesa sa hiv kwishiney na wengine wengi na sasa hiv ni zamu ya huyu. Kaa mbali na imani za watu tutakuchukia wewe na ccm lako. Sisi tunataka.maendeleo ya mpira sio blah blah za asilimia. Kwam hata akichukia hisa zote kama timu inaiwakilisha nchi vzr ninyi mnashida gani? Hawa watu vipi na ikitokea mo amemwaga unga hatutawaelewa. Msitugombanishe na rais wetu tukaanza kumchukia kwa ujinga ujinga.
 
Hatuwezi kumpa timu hivi hivi kienyejically. Lazima "tule" kwanza.

Kwani Mo ni nani hata asituone wazee?
Imeendeshwa na wanachama wazalendo miaka mingi sana ww umepata nini? Au timu imefikia wapi? Tuwe na soni basi tuache mpira ujiendeshe wenyewe siasa kwenye mpira haiwezi kutufikisha mahali
 
Imeendeshwa na wanachama wazalendo miaka mingi sana ww umepata nini? Au timu imefikia wapi? Tuwe na soni basi tuache mpira ujiendeshe wenyewe siasa kwenye mpira haiwezi kutufikisha mahali
Hakuna kijiji kisicho na wazee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…