kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Kwanini wewe usiwe chama ukacheze ulaya?Kila mchezaji duniani kote ana ndoto na anaomba ajiunge na timu ambayo inashiriki mashindano ya kimataifa ili acheze mechi za kimataifa kwa lengo la kujinadi kimataifa aonekane kimataifa ili apate timu zenye maslahi mazuri na mazingira Bora ya kazi...
Na Ushindi alietoka Mazembe kwenda utopolo tumfanyajeKila mchezaji duniani kote ana ndoto na anaomba ajiunge na timu ambayo inashiriki mashindano ya kimataifa ili acheze mechi za kimataifa kwa lengo la kujinadi kimataifa aonekane kimataifa ili apate timu zenye maslahi mazuri na mazingira Bora ya kazi...
Kama kucheza manungu ni adhabu basi yanga wanateseka sanaWalicheza kimataifa wakishindwa na wengine waliyakosa mashindano kwa sababu za transfer. Lakini Chama alihama wakati ule alifahamu wazi kuwa anakwenda kucheza Manungu complex TU.
Kwani huko Berkane alikuwa anacheza?Kwani wakati anajiunga tena na Simba hakujua kama hatashiri mechi za kimataifa? Hapo ndipo panapohitaji upimaji wa akili. Umri alinaonao ni WA kushow case kimataifa, sio kurudi Manungu TU. Wenzake wanamcheka sana hata kama hawamwambii. Ni heri angekuwa mchezaji wa akiba kwenye timu yake ya Berkane kuliku alichofanya, mpuuzi kabisa wa soka.
Basi michezaji yote iliyosaini vigodoro fc ingepimwa akiliKila mchezaji duniani kote ana ndoto na anaomba ajiunge na timu ambayo inashiriki mashindano ya kimataifa ili acheze mechi za kimataifa kwa lengo la kujinadi kimataifa aonekane kimataifa ili apate timu zenye maslahi mazuri na mazingira Bora ya kaz...
Mzee usimpangie mtu maisha.Kila mtu na maisha yake.Kila mchezaji duniani kote ana ndoto na anaomba ajiunge na timu ambayo inashiriki mashindano ya kimataifa ili acheze mechi za kimataifa kwa lengo la kujinadi kimataifa aonekane kimataifa ili apate timu zenye maslahi mazuri na mazingira Bora ya kazi...
๐๐น๐ฎ ๐๐ฎ๐ธ๐ถ๐ฝ๐ถ๐๐ฎ ๐ต๐ฎ๐๐๐ฎ ๐๐ฎ ๐บ๐ฎ๐ธ๐๐ป๐ฑ๐ถ ๐ฐ๐ต๐ฎ๐บ๐ฎ ๐ฐ ๐๐ฎ๐ป๐ฎ๐ฟ๐๐ต๐๐๐ถ๐๐ฎ ๐ธ๐๐บ2๐บ๐ถ๐ฎ ๐ฎ๐ ๐๐ถ๐ฝ?Kilichomkuta chama kipo katika sheria ya mpira, kwa maana ya kwamba kingeweza kumkuta hata messi endapo angesajiliwa na simba
Chiko Ushindi ametoka TP MazembeKila mchezaji duniani kote ana ndoto na anaomba ajiunge na timu ambayo inashiriki mashindano ya kimataifa ili acheze mechi za kimataifa kwa lengo la kujinadi kimataifa aonekane kimataifa ili apate timu zenye maslahi mazuri na mazingira Bora ya kazi...
Hivi nyie miutopolo mna matatizo gani vichwani mwenu? Wakapimwe kwanza aucho , Bangala na mayele kukubali kucheza timu ya mchangani.Kila mchezaji duniani kote ana ndoto na anaomba ajiunge na timu ambayo inashiriki mashindano ya kimataifa ili acheze mechi za kimataifa kwa lengo la kujinadi kimataifa aonekane kimataifa ili apate timu zenye maslahi mazuri na mazingira Bora ya kaz...
Sio tu kupimwa akili anafaa kuwekwa hospitali ya wenda wazimu, maana alikuwa anaweza maliza msimu huko Berkane Kisha akarudi, ILA kiwango chake huko BerKila mchezaji duniani kote ana ndoto na anaomba ajiunge na timu ambayo inashiriki mashindano ya kimataifa ili acheze mechi za kimataifa kwa lengo la kujinadi kimataifa aonekane kimataifa ili apate timu zenye maslahi mazuri na mazingira Bora ya kazi...