mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,222
- 4,689
Kennedy yupo vizuri sana.. Tangia yupo East Africa aliwafunika Dulla na Sam.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa ana-dj Kiss FmHivi Muli-B yuko wapo?
Mbona kwa andiko lako una sound kishoga shoga......hebu shusha more details tu trace mkao wako...huwezi jua kuna watakaoonyesha interest ukapiga bingo.Mashoga ndio wanasikiliza clouds lakini ukiwa lijali huwezi kabisa.
redio gani watangazaji wakiume wanabama pua kama watoto wakike
Ufuasi ni mbaya sana'Kennedy the remedy'...yuko poa tena ameendana na slang zao akina bdozen ... Utakuwa na shida yako binafsi.
Unamaanisha Mimi ni mfuasi?Ufuasi ni mbaya sana
Mbona Kennedy yuko fresh?? Nilisikitika alivyoihama EA radio...keneddy the remedy. Hata jina tu ni brand tosha..
Kipindi changu kilikua ni Ku peruse na kudadis... Now that PJ is gone, sipati ile mzuka kama zamani...Yan mi ni clouds tu asubuhi mpk asubuhi, radio nyingine ata sijui frequency zao
Tatizo la amplifaya ni matangazo... Yani mpaka keroooobila kusikilza amplifaya siku yangu haijaisha
Hilo ni tatizo la vipnd vyote pale clouds juna sku nliskilza matangazo kutoka kinondoni mkwajun had apa nakaribia mwenge itv, ndo nackia tena B twangala ana rud na kulkuwa kuna folen fkiriaTatizo la amplifaya ni matangazo... Yani mpaka keroooo
Hahahaaa we jamaa wewe!cwez na cntakaa nickilize clouds fm . nilienda kwa dem nkakuta anackilza hyo nkmwambia atoe akagoma na hv geto hapakuwa mbal nkaamsha zng mm
Wewe ni mfuasi kabisaUnamaanisha Mimi ni mfuasi?