frenk julius
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 377
- 242
- Thread starter
- #21
FactIla tuache utani, Simba ya sasa kuanza kuingia kwenye malumbano na Yanga ni kujishushia hadhi sana.
Simba inatakiwa iwaze mafanikio barani Afrika, sio kurushana roho na timu kama ya Yanga.
Ifike mahali tuanze kuwaondoa wasemaji ambao wamekosa weledi kama Manara. Mtu kama Zaka za Kazi anaonekana anajitambua sana.
Hivi kwa vile vibweka alivyokuwa anavifanya Manara kwa Morisson tuna msemaji wa timu au shabiki maandazi?