Kwa hili GSM wamefanikiwa

Fact
 
Chagia hoja mkuu
 
Na hili kalisababisha Manara kafanikiwa sana kufanya watani wa jadi kuwa maadui hana tofauti na polepole
Kama Yanga wameweza mchukua Senzo,basi Simba wataweza mrudisha vile vile. Simba na Yanga sio watani tena bali ni maadui.
 
Walisema mkataba mpya wa Morison walisajili fifa lakini sasa hivi fifa Morison anaonekana ni mchezaji wa Simba
 
Senzo ni mshauri wa club ya Yanga atakacho kishauri uwenda kikakubaliwa ama kukakataliwa.
ni mtoa ushauri tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…