Kwa hili Harmonize umekurupuka, eti amepiga marufuku wimbo wake 'Yanga Bingwa' kuchezwa popote kisa kipondo cha aibu na Tabora United

Kwa hili Harmonize umekurupuka, eti amepiga marufuku wimbo wake 'Yanga Bingwa' kuchezwa popote kisa kipondo cha aibu na Tabora United

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Huu sasa ni uamuzi wa kipuuzi kaufanya Harmonize, kusitisha wimbo eti kisa mnakereka na kipigo hiyo haipunguzi maumivu kwa mashabiki. acha goma lilie, piga hela za views Yanga wajipange upya kwani ligi bado ni mbichi hii.

=====
453870709_18450772687004484_6321177387339820683_n.jpg
Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Harmonize amepiga marufuku wimbo wake maarufu wa 'Yanga Bingwa' kuchezwa sehemu yoyote hadi pale atakapotoa taarifa nyingine kuhusu wimbo huo.

Pia, Soma: Full Time: Yanga SC 1 - 3 Tabora United | NBC Premier League | Azam Complex | November 7,024
Screenshot 2024-11-08 123739.png
Harmonize ametoa maelekezo hayo kupitia mtandao wa Instagram, ikiwa ni saa chache tangu Yanga ifumuliwe mabao 3-1 na Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa jana kwenye Uwanja wa Azam Complex, jijini Dar es Salaam.
Screenshot 2024-11-08 122020.png
 
Maandishi hayo sio mageni jijini, labda kwa mgeni jijini. Ila kwa wenyeji wa jiji ni maandishi tuliyoyazoea...
 
Huyo Ushamba na kukosa elimu kunamsumbua… Samahanini nitazungumzia mkasa wake fulani usiohusiana na mada hii, ila unahusisha hizohizo tabia zake za kupenda sifa za kijinga na Ushamba usio na maana.

kuna siku atayakanyaga mwa mtu huenda kukaja kuwa mwisho wake au chanzo cha umasikini wake… akarudi alipotoka 😊

Aliingiaga benki fulani ya hapahapa nchini tawi la Mlimani city kufanya huduma fulani, sasa kwenye kujaza zile fomu kuna makosa aliyafanya… bankers kumuelewesha kwamba kuna makosa arudie, ajaze fomu nyingine si akakurupuka anatukana hovyo nfani ya ofisi ya watu. Wakamtazama wakamstahi wasomi wakaendelea na shughuli zao, wangesema wamfungulie kesi na wamtwange faini ya 10B si ndo ungekuwa mwisho wake huyu msenge?! Angeiweza kesi na taasisi huyu?!

Muonyenyi aache ushamba na sehemu zingine hazihitaji Ushamba na bange shauri yake 😊
 
Back
Top Bottom