Kwa hili HESLB imeniacha njiapanda

Joined
Dec 21, 2012
Posts
67
Reaction score
4
Nisiku Kadhaa Zimebaki Ili Wale Wa Mzumbeni Turipoti Chuo Na Baadhi Ya Vyuo Wakiwa Wameripot Inasemekana Kama Chuo Chako Kimefungua Inabidi Mwanafunzi Aripoti Chuo Alichopangiwa Huku Akilipa At Least 50% Ya Ada
Je Heslb Wakitoa Mkopo Huku Huna Hata 0% Kwa Maisha Haya Ya Watoto Wa Kulima Tutasoma Kweli
2 Hiyo Ada Hata Nusu Itapatikana Na Matumizi Mengine? Wadau Mi Mpaka Nachoka Maana Ada Ni Milion 1 Na Laki 8 Na Badoo Mambo Mengine Niko Njia Panda Mimi
 
At least 50%,by theni ilikua ni 100% ,ikitokea umepata,wana refund chuo.
 
Hii ni hatari sana udsm tunaanza report tar 11 lakn hd sasa hatujui kama tutapata mkopo au hatupati! Heslb wametulia tul, hawana hata wazo. Cjui wana malengo gan na watoto tunaotoka ktk familia za wakulma. Mwenye ufahamu zaid kuhus hil atujuze au utaratbu ndio uko hvyo
 
Huwezi kuwalaumu helb wakati tcu&nacte bado wanaendelea na udahili.
 
Daa kwa kweli wanatuchanganya saana hawa loan board..... ata kutoa taarifa tu kwa kinachoendlea hakuna..na karibia vyuo vyote vinafunguliwa....mpk tunachoka yaani.
 
Sijui Tutafanya Nin Na Wanasema Usiposhiriki Orietantion Weak Huasajiliwi
 
Dah Mimi hapa yani nmechoka vibaya sana udsm tarehe 11 at a sielewi chakufanya
 
pesa zimeshaachiwa jamani zilitakiwa kupelekwa vyuoni toka wiki hii mwishoni au kuanzia jumatatu izo ni habari kutoka kwenye web Yao helsb.

HYO WEB UNAIPITIA WEWE PEKE AKO AU ?????? Maana cjaona palipoandikwa ulichoandika
:hail:
 
Sasa Mi Ntalipot Chuo Nikikosa Mkopo Nirudi Tena Kijijini Kwetu Kujipanga Au?? Toka Moro Mzumbe Hadi Mara Nauli Yenyewe Shidaa
 
wengine direct cost 400000/= sasa hata ukipata mkopo ni tabu tu
 

HELSB wanailaumu TCU kuwa ndio shiiida, kwani wao huanza kazi baada ya TCU kurelease selection. but they have done something they expect to release the ealy of week starting 2moro.

Pia HELSB inaonekana hawana watu wazuri wa IT wanaojua kucheza na excel vizuri. kwani kwa mjuzi ni kazi ya muda mfupi.

Lawama ya pili kwa HELSB ni Ubaguzi wa kuona watanzania wengine hawafai kupata mikopo na wengine wanahaki ya kupata nawakati zote ni kozi na wote wanakopeshwa wote wanatakiwa walipe huo mkopo, hakuna haja ya kumnyima mkopo. kama ingekuwa bure sawa lakini mkopo ambao kila mtu atatakiwa kulipa.
 
wengine direct cost 400000/= sasa hata ukipata mkopo ni tabu tu

kuna dogo kachaguliwa Education pale bagamoyo ada 3m kozi ni priority na mkopo atapata 1.3m kwahiyo yeye anatakiwa alipie 1.7m kadata, hiyo pesa ataitoa wapi?
 
Cha Ajabu Wote Ni Watanzania Na Watoto Wa Wakulima Et Kuna Wengine Wanapata Mkopo 100% Huku Wengine _ Hivi Ni Haki Kweli Kwani Wote Tukisomea Udakitari Na Uwalimu Nani Atakuwa Mwanasheria MI NASONONEKA SANA NATAMANI HATA KUWAKOSEA ADABU HAO HESLB kwa ujinga wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…