vallentino86
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 532
- 213
kwaio watakaopata mkopo ni wanaochukua course za ualim na udaktari:angry:Cha Ajabu Wote Ni Watanzania Na Watoto Wa Wakulima Et Kuna Wengine Wanapata Mkopo 100% Huku Wengine _ Hivi Ni Haki Kweli Kwani Wote Tukisomea Udakitari Na Uwalimu Nani Atakuwa Mwanasheria MI NASONONEKA SANA NATAMANI HATA KUWAKOSEA ADABU HAO HESLB kwa ujinga wao