mtafuta-maisha
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 1,982
- 2,931
Hakuna unaliandika ambalo ni jipya umeongea uongo uongo tu kujifanya inside person wakati interview diamond alipomtusi mwenzie kila mtu alisikia siku hiyo na hapo hapo B12 akasema Ommy kamcheki kuwa na yeye anataka intervie ambapo kesho yake naye alifanyiwaw interview akaanzia mbali sana akaeleza jinsi walivyofahamiana na jamaa toka hata hajatoka kimziki na akasema kuwa ni DIamond aliyekuwa anamshawishi aachane na mambo ya bendi afanye mziki solo, mpaka wanapanda kipikipiki cha diamond alichonunua wakifika mliman ommy anateremka diamond anaendela anamsubiria juu.Umeona sasa unajiropokea tena.
Kaa tulia uulize kama kitu hukijui.
Akaeleza mpaka jamaa anaanza kumkwepa, hadi Salam Sk kuw alimpgia simu akafanye ngoma na davido wakati kaja perform anaenda anakuta diamond ashafika wako chumbani Tecno kipindi hicho hajaanza kuimba akiwa ana set mini studio warekodi ngoma na yeye hakumaind aksema its all good diamond akitoka international atamshika mkono..