Kwa hili la kuagiza Umeme Ethiopia, wananchi tunahitaji maelezo ya ziada, tulijenga mitambo ya bwawa la Mwalimu kwa nini?

Kwa hili la kuagiza Umeme Ethiopia, wananchi tunahitaji maelezo ya ziada, tulijenga mitambo ya bwawa la Mwalimu kwa nini?

View attachment 3266577
Mimi ni mmoja wa watu nisioridhika na maelezo yaliyotolewa na serikali kupitia kwa Katibu Mkuu wa wizara ya Nishati ndg Felchesmi Mramba, juu ya sababu za kuagiza umeme toka Ethiopia.

Sababu zilizotolewa;
  • Umeme wa mikoa ya kaskazini unapelea au kukosekana kabisa
  • Kukosekana kwa umeme huko kunatookana na umbali kutoka sehemu za uzalishaji umeme, yaani Dar esalaam, kwa umeme kutokana na mitambo ya gesi, na umeme toka Mkoa wa Pwani/Morogroro toka Bwawa la Mwalimu Nyerere
  • Mikoa ya kaskazini inakosa umeme wa uhakika na kupungua sana kwa msongo(voltage)
  • Serikali itaagiza umeme wa 100MW, ili kurekebisha matatizo Moshi, Arusha na Manyara, na kwa kufanya hivyo Songwe itaweza kupata 17MW
Bhati mbaya haya maelezo hayakidhi.
Najiuliza maswali yafuatayo,
  • Je, kuna ukosefu wa Power production? jibu ni hapana kwani sasa hivi umeme unaozalishwa nchini 3,796MW, wakati mahitaji ni 2,200MW(Bwawa la Mwalimu Nyerere bado halijatenngeneza umeme at full caoacity)
  • Katika ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere hapakuwepo Feasibility study? Study ambayo ingeweza kuona jinsi ya kusambaza umeme wa Bwawa la Mwalimu Nyerere sehemu zote za nchi?
  • Na je, ni mikakati gani itatumiwa na serikali kuona kwamba umeme wetu unaozaliwa Bwawa la Mwalimu Nyerere unatumika kikamilifu?
  • Na je huko Ethiopia, si tunalipa kwa fedha za kigeni? Hizo gharama si zingetumika kusafirisha na kusambaza umeme wa Bwawa la Mwalimu Nyerere

Wananchi tunajiuliza haya maswali mengi maana tunajua mradi wa ujenzi wa umeme wa Bwawa la Mwalimi Nyerere umetugharimu sana, tena sana, kiasi cha karibia Trillioni 7, fedha za kitanzania.

Swali linalotukatisha tamaa, ni je hizo Trillioni 7 za Bwawa la Mwalimu Nyerer ni wasted investment?

Tupate ufafanuzi tafadhali!!
Haya masuali ya umeme yana taka elimu.

Ujarumani ina zalisha umeme mwingi sana
Sasa ina uza nje kwa karibu 70000 GWH na ina nunuwa 51000 GWH
Lakujiuliza kwa nini wanauza na kwa nini wana nunuwa.
France ni pia inanunuwa na kuuza.

Kuna ajabu gani Tanzania ikafanya hivyo kuuza na kununuwa.

Mfano kama Tanzania ina zalisha umeme kusini.
na wana hitaji umeme kaskazini. Basi ni bora kaskazini kununuwa na ule umeme wa kusini kuuza.
 
Haya masuali ya umeme yana taka elimu.

Ujarumani ina zalisha umeme mwingi sana
Sasa ina uza nje kwa karibu 70000 GWH na ina nunuwa 51000 GWH
Lakujiuliza kwa nini wanauza na kwa nini wana nunuwa.
France ni pia inanunuwa na kuuza.

Kuna ajabu gani Tanzania ikafanya hivyo kuuza na kununuwa.

Mfano kama Tanzania ina zalisha umeme kusini.
na wana hitaji umeme kaskazini. Basi ni bora kaskazini kununuwa na ule umeme wa kusini kuuza.
Kuwa na akili kujibu dondoo zilizowekwa.
 
Uko sahihi kabisa. Hakuna mtanzania ye yote mwenye akili timamu anayeweza kukubaliana na hizo sababu ya sisi kuanza ku import nishati ya umeme badala ya ku export umeme kama tulivyotarajia baada ya JNHPP kukamilika.

Ziada ya umeme tulionao (baada ya kutoa mahitaji yetu ya sasa) ni zaidi ya MW 2,000. Hao Ethiopia ziada yao haiifiki tuliyonayo sisi. Umeme tunaozalisha kwa mitambo ya maji huko JNHPP, Mtera, Kidatu, Nyumba ya Mungu na kwingineko unazidi mahitaji yetu. Ni umeme safi wa bei nafuu sana. Tulitegemea bei ya umeme ishuke hadi kuwa si zaidi ya Tsh 100 kwa unit kama ilivyokuwa ndoto ya JPM. Hii ingaliwezesha viwanda vyetu viongezeke na kuzalisha bidhaa zenye bei nafuu inayoweza kushindana kwenye masoko ya dunia. Pia ingaliwezesha kuboresha maisha ya watanzania hususani kwenye nishati nafuu ya kupikia na viwanda vidogo vidogo.

Umeme unaozalishwa kwa gesi bei yake ni mara 10 ya ule unaozalishwa kwa maji. Hivyo tulitegemea hiyo mitambo yote ya gesi ya pale Kinyerezi kuzimwa hadi hapo tutakapopata soko la nje la kuwauzia (export) na nchi kupata fedha za kigeni inazozihitaji sana. Na tayari miundo mbinu (njia) ya kupeleka umeme hadi Ethiopia, Kenya na Somalia tumeshaijenga kwa pesa zetu nyingi za kigeni za mikopo. Na sasa tulishaanza kujenga njia nyingine hadi South Africa kupitia Zambia. Na tunajenga bomba za kusafirishia gesi hadi Kenya, Uganda na Zambia ili tuweze ku export utajiri wetu wa gesi asilia. Au nazo bomba hizi zitaishia kutumika ku import gesi za nchi zingine?

Iweje sasa njia hizi badala ya kuzitumia ku export umeme wetu wa gesi wenye bei kubwa kupata dola (USD), ghafla tumeamua kuzitumia ku import umeme kuopeteza dola? Nani alimpa ushauri huo raisi wetu kwenye ziara yake huko Tanga? Eti kukatika katika kwa umeme kwenye mikoa hiyo ya Tanga, Kilimanjaro na Manyara kunatokana na mikoa hiyo kuwa mbali sana na vyanzo vya uzalishaji vya umeme vya JNHPP na Kinyerezi? Sasa huko Ethiopia ndiyo karibu kuliko JNHPP na Kinyerezi kweli? Mbona hata Mwanza, Mara, Kagera na Shinyanga ni mbali zaidi na umeme unakatikakatika? Hivyo mikoa hii nayo ipatiwe umeme wa Ethiopia? Ndiyo suluhisho lake kweli? Mwanzoni tuliambiwa tatizo ni njia za usambazaji ikiwemo ma transformers na serikali inalishughulikia na ilianzia kwenye jiji la Dar es Salaam. Baadaye Kafulila akapanga kubinafisha tanesco kwa jina la PPP!

Yaani tangia enzi za Richmond suala la umeme Tanzania limekuwa sarakasi juu ya sarakasi. Nani anaweza kukomesha hizi sarakasi? Bunge lilingilia sarakasi ya Richmond chini ya spika Samwel Sitta. Jee kwa sasa lina ubavu huo chini ya spika Tulia?
Kwakweli ni muhimu serikali kuleta majibu sahihi katika suala hili.
 
View attachment 3266577
Mimi ni mmoja wa watu nisioridhika na maelezo yaliyotolewa na serikali kupitia kwa Katibu Mkuu wa wizara ya Nishati ndg Felchesmi Mramba, juu ya sababu za kuagiza umeme toka Ethiopia.

Sababu zilizotolewa;
  • Umeme wa mikoa ya kaskazini unapelea au kukosekana kabisa
  • Kukosekana kwa umeme huko kunatookana na umbali kutoka sehemu za uzalishaji umeme, yaani Dar esalaam, kwa umeme kutokana na mitambo ya gesi, na umeme toka Mkoa wa Pwani/Morogroro toka Bwawa la Mwalimu Nyerere
  • Mikoa ya kaskazini inakosa umeme wa uhakika na kupungua sana kwa msongo(voltage)
  • Serikali itaagiza umeme wa 100MW, ili kurekebisha matatizo Moshi, Arusha na Manyara, na kwa kufanya hivyo Songwe itaweza kupata 17MW
Bhati mbaya haya maelezo hayakidhi.
Najiuliza maswali yafuatayo,
  • Je, kuna ukosefu wa Power production? jibu ni hapana kwani sasa hivi umeme unaozalishwa nchini 3,796MW, wakati mahitaji ni 2,200MW(Bwawa la Mwalimu Nyerere bado halijatenngeneza umeme at full caoacity)
  • Katika ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere hapakuwepo Feasibility study? Study ambayo ingeweza kuona jinsi ya kusambaza umeme wa Bwawa la Mwalimu Nyerere sehemu zote za nchi?
  • Na je, ni mikakati gani itatumiwa na serikali kuona kwamba umeme wetu unaozaliwa Bwawa la Mwalimu Nyerere unatumika kikamilifu?
  • Na je huko Ethiopia, si tunalipa kwa fedha za kigeni? Hizo gharama si zingetumika kusafirisha na kusambaza umeme wa Bwawa la Mwalimu Nyerere

Wananchi tunajiuliza haya maswali mengi maana tunajua mradi wa ujenzi wa umeme wa Bwawa la Mwalimi Nyerere umetugharimu sana, tena sana, kiasi cha karibia Trillioni 7, fedha za kitanzania.

Swali linalotukatisha tamaa, ni je hizo Trillioni 7 za Bwawa la Mwalimu Nyerer ni wasted investment?

Tupate ufafanuzi tafadhali!!
Maelezo yanayotolewa kujustify ununuzi wa umeme toka Ethiopia ni propaganda tu kama ilivyokuwa kwa Richmond..

Hoja ya power loss ni hoja nyepesi inayotumiwa kuficha uongo unaopigiwa debe.

Katika nadhariia ya umeme power loss ni kitu kisichokwepeka na kinachokubalika ni sawa na Lori linalotembea kuna vyuma na parts vinasagika hivyo baada ya muda huwa vinabadilishwa. Hivyo mwenye gari anapochaji gharama za uchukuzi wa miizigo anaweka pia gharama za uchakavu ili baadae aweze kununua spea pale zitakapokuwa zimechakaa.

Umeme unaposafirishwa hata ndani ya wilaya moja au toka nyumba moja kwenda nyumba nyingine kuna power loss inatokea ambayo kitaalamu ni ( I squared times R). Ni kweli jinsi umbali unavyoongezeka ndivyo power loss nayo inaongezeka lakini ni kwa kiasi kidogo sana.

Kukabiliana na hilo la power loss, umeme unapozalishwa hatua ya kwanza unapandishwa juu sana mfano kutoka 33 KV zilizozalishwa kwenda 220 KV kwa kutumia step up transformer kabla ya kusafirishwa; hivyo unasafirishwa katika very high voltage; kitendo hiki kinasababisha current( I) ipungue sana hivyo kushusha power loss kitaalamu ( kumbuka formula ya power loss kihesabu za umeme ni (I times I times R). Umeme ukifika unakoenda unashushwa voltage kwa kutumia step down transformer hadi kiwango kidogo cha voltage mfano 11 KV katika sub stations, nao unasafirishwa ndani ya mji hadi majumbani na kushushwa tena kwa kutumia step down transformer zilizoko katika nguzo za umeme ili kuwa 415 Volts. Kitendo cha kupunguza voltage hupandisha current ( I ). Hizi ndio technique zinazotumika kudhibiti power loss kitaalam.

Ndio maana miaka yote huko nyuma umeme wa kidatu ulisafirishwa hadi Mwanza, Mbeya na maeneo ya mipakani kama Tarime ambapo ni zaidi ya km 1300 lakini tulikuwa hatusikii hizi ngonjera za power loss. Jiulize kwa nini sasa Kafulila na wengine wanapigia kelele ngonjera za power loss.

Mfumo wa tarrif wa kutoza gharama za.matumizi ya umeme unazingatia gharama zote kuanzia uzalishaji, usafirishaji, usambazaji, matengenezo, uchakavu,. Pia gharama walizotozwa watumiaji zililingana. TANESCO tangu mwaka 1991 imekuwa ikikumbwa na ubadhirifu mbalimbali unaotokana na mikataba isiyozingafia maslahi ya nchi na hiyo ndiyo ilifanya gharama za umeme ziwe juu kulinganisha na nchi zingine

Kuutoa umeme toka kwenye nguzo hadi ofisini au nyumbani kwake kuna power loss pia. Ni kama nilivyoeleza juu kwa kutumia mfano wa gari ya mizigo inapobeba mizigo.

Kingine, umeme unapozalishwa toka vyanzo mbalimbali unachanganywa katika grid ya Taifa ni kama maji yanavyochanganyika na kuwa kitu kimoja kwa sababu dunia nzima umeme unazalishwa katika makundi matatu tu yanayoitwa kitaalamu three phases huwa zinakuwa labelled Red, blue & yellow phases. Sasa wanaposema tunauza umeme wa mpakani sio sahihi kwa sababu umeme unakuwa umechanganyika kama maji huwezi kuutenga kuwa huu ni umeme wa pangani na huu ni wa kidatu na huu ni wa Rusumo nk hivyo ninauza umeme wa Rusumo siuzi umeme wa kidatu.

Hili bwawa la Rufiji viongozi na wanasiasa wengi hawakutaka kabisa lijengwe ndio maana sasa wametafuta hoja ya kulizuia lisitumike kikamilifu. Kama Magufuli asingetawala Bwawa ka umeme la Rufiji lisingejengwa kamwe.

Tanganyika licha ya kuwa na vyanzo vingi vya umeme vinavyofanya kazi pia ina potential ya kuzalisha kwa kutumia vyanzo vipya kama kule Singida kwa kutumia upepo, joto ardhi nk

Hivyo concept ya power loss inayotumiwa sasa ni vehicle tu ya kuhalalisha maamuzi mabovu na ni hoja mufilisi Kama zingine zote za awali ambazo tumekuwa tukiambiwa tangu mwaka 1991.
 
Maelezo yanayotolewa kujustify ununuzi wa umeme toka Ethiopia ni propaganda tu kana ilivyokuwa kwa Richmond..

Hoja ya power loss ni hoja nyepesi inayotumiwa kuficha uongo unaopigiwa debe.

Katika nadhariia ya umeme power loss ni kitu kisichokwepeka na kinachokubalika ni sawa na Lori linalotembea kuna vyuma na parts vinasagika hivyo baada ya muda huwa vinabadilishwa. Hivyo mwenye gari anapochaji gharama za uchukuzi wa miizigo anaweka pia gharama za uchakavu ili baadae aweze kununua speak pale zitakapokuwa zimechakaa.

Umeme unaposafirishwa hata ndani ya wilaya moja au toka nyumba moja kwenda nyumba nyingine kuna power loss inatokea ambayo kitaalamu ni ( I squared times R). Ni kweli jinsi umbali unavyoongezeka ndivyo power loss nayo inaongezeka lakini ni kwa kiasi kidogo sana.

Kukabiliana na hilo la power loss, umeme unapozalishwa hatua ya kwanza unapandishwa juu sana mfano kutoka 33 KV zikizozalishwa kwenda 220 KV kwa kutumia step up transformer kabla ya kusafirishwa; hivyo unasafirishwa katika very high voltage; kitendo hiki kinasababisha current( I) ipungue sana hivyo kushusha power loss kitaalamu ( kumbuka formula ya power loss kihesabu za umeme ni (I times I times R). Umeme ukifika unakoenda unashushwa voltage kwa kutumia step down transformer hadi kiwango kidogo cha voltage mfano 11 KV katika sub stations, nao unasafirishwa ndani ya mji hadi majumbani na kushushwa tena kwa kutumia step down transformer zilizoko katika nguzo za umeme ili kuwa 415 Volts. Kitendo cha kupunguza voltage hupandisha current ( I ). Hizi ndio technique zinazotumika kudhibiti power loss kitaalam.

Ndio maana miaka yote huko nyuma umeme wa kidatu ulisafirishwa hadi Mwanza, Mbeya na maeneo ya mipakani kama Tarime ambapo ni zaidi ya km 1300 lakini tulikuwa hatusikii hizi ngonjera za power loss. Jiulize kwa nini sasa Kafulila na wengine wanapigia kelele ngonjera za power loss.

Mfumo wa tarrif wa kutoza gharama za.matumizi ya umeme unazingatia gharama zote kuanzia uzalishaji, usafirishaji, usambazaji, matengenezo, uchakavu,. Pia gharama walizotozwa watumiaji zililingana. TANESCO tangu mwaka 1991 imekuwa ikikumbwa na ubadhirifu mbalimbali unaotokana na mikataba isiyozingafia maslahi ya nchi na hiyo ndiyo ilifanya gharama za umeme ziwe juu kulinganisha na nchi zingine

Kuutoa umeme toka kwenye nguzo hadi ofisini au nyumbani kwake kuna power loss pia. Ni kama nilivyoeleza juu kwa kutumia mfano wa gari ya mizigo inapobeba mizigo.

Kingine, umeme unapozalishwa toka vyanzo mbalimbali unachanganywa katika grid ya Taifa ni kama maji yanavyochanganyika na kuwa kitu kimoja kwa sababu dunia nzima umeme unazalishwa katika makundi matatu tu yanayoitwa kitaalamu three phases huwa zinakuwa labelled Red, blue & yellow phases. Sasa wanaposema tunauza umeme wa mpakani sio sahihi kwa sababu umeme unakuwa umechanganyika kama maji huwezi kuutenga kuwa huu ni umeme wa pangani na huu ni wa kidatu na huu ni wa Rusumo nk hivyo ninauza umeme wa Rusumo siuzi umeme wa kidatu.

Hili bwawa la Rufiji viongozi na wanasiasa wengi hawakutaka kabisa lijengwe ndio maana sasa wametafuta hoja ya kulizuia lisitumike kikamilifu. Kama Magufuli asingetawala Bwawa ka umeme la Rufiji lisingejengwa kamwe.

Tanganyika licha ya kuwa na vyanzo vingi vya umeme vinavyofanya kazi pia ina potential ya kuzalisha kwa kutumia vyanzo vipya kama kule Singida kwa kutumia upepo, joto ardhi nk

Hivyo concept ya power loss inayotumiwa sasa ni vehicle tu ya kuhalalisha maamuzi mabovu na ni hoja mufilisi Kama zingine zote za awali ambazo tumekuwa tukiambiwa tangu mwaka 1991.
On this I concur.
Mahali pa energy ndio miaka yote kuna upigaji mwingi.
 
View attachment 3266577
Mimi ni mmoja wa watu nisioridhika na maelezo yaliyotolewa na serikali kupitia kwa Katibu Mkuu wa wizara ya Nishati ndg Felchesmi Mramba, juu ya sababu za kuagiza umeme toka Ethiopia.

Sababu zilizotolewa;
  • Umeme wa mikoa ya kaskazini unapelea au kukosekana kabisa
  • Kukosekana kwa umeme huko kunatookana na umbali kutoka sehemu za uzalishaji umeme, yaani Dar esalaam, kwa umeme kutokana na mitambo ya gesi, na umeme toka Mkoa wa Pwani/Morogroro toka Bwawa la Mwalimu Nyerere
  • Mikoa ya kaskazini inakosa umeme wa uhakika na kupungua sana kwa msongo(voltage)
  • Serikali itaagiza umeme wa 100MW, ili kurekebisha matatizo Moshi, Arusha na Manyara, na kwa kufanya hivyo Songwe itaweza kupata 17MW
Bhati mbaya haya maelezo hayakidhi.
Najiuliza maswali yafuatayo,
  • Je, kuna ukosefu wa Power production? jibu ni hapana kwani sasa hivi umeme unaozalishwa nchini 3,796MW, wakati mahitaji ni 2,200MW(Bwawa la Mwalimu Nyerere bado halijatenngeneza umeme at full caoacity)
  • Katika ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere hapakuwepo Feasibility study? Study ambayo ingeweza kuona jinsi ya kusambaza umeme wa Bwawa la Mwalimu Nyerere sehemu zote za nchi?
  • Na je, ni mikakati gani itatumiwa na serikali kuona kwamba umeme wetu unaozaliwa Bwawa la Mwalimu Nyerere unatumika kikamilifu?
  • Na je huko Ethiopia, si tunalipa kwa fedha za kigeni? Hizo gharama si zingetumika kusafirisha na kusambaza umeme wa Bwawa la Mwalimu Nyerere

Wananchi tunajiuliza haya maswali mengi maana tunajua mradi wa ujenzi wa umeme wa Bwawa la Mwalimi Nyerere umetugharimu sana, tena sana, kiasi cha karibia Trillioni 7, fedha za kitanzania.

Swali linalotukatisha tamaa, ni je hizo Trillioni 7 za Bwawa la Mwalimu Nyerer ni wasted investment?

Tupate ufafanuzi tafadhali!!
Miradi ya kuwapa Wastaafu mafao ya Kikokotoo kama ile PSPF😭😭.
 
Hivi Nyumba ya Mungu na Hale Pangani hawazalishi tena Umeme??
 
View attachment 3266577
Mimi ni mmoja wa watu nisioridhika na maelezo yaliyotolewa na serikali kupitia kwa Katibu Mkuu wa wizara ya Nishati ndg Felchesmi Mramba, juu ya sababu za kuagiza umeme toka Ethiopia.

Sababu zilizotolewa;
  • Umeme wa mikoa ya kaskazini unapelea au kukosekana kabisa
  • Kukosekana kwa umeme huko kunatookana na umbali kutoka sehemu za uzalishaji umeme, yaani Dar esalaam, kwa umeme kutokana na mitambo ya gesi, na umeme toka Mkoa wa Pwani/Morogroro toka Bwawa la Mwalimu Nyerere
  • Mikoa ya kaskazini inakosa umeme wa uhakika na kupungua sana kwa msongo(voltage)
  • Serikali itaagiza umeme wa 100MW, ili kurekebisha matatizo Moshi, Arusha na Manyara, na kwa kufanya hivyo Songwe itaweza kupata 17MW
Bhati mbaya haya maelezo hayakidhi.
Najiuliza maswali yafuatayo,
  • Je, kuna ukosefu wa Power production? jibu ni hapana kwani sasa hivi umeme unaozalishwa nchini 3,796MW, wakati mahitaji ni 2,200MW(Bwawa la Mwalimu Nyerere bado halijatenngeneza umeme at full caoacity)
  • Katika ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere hapakuwepo Feasibility study? Study ambayo ingeweza kuona jinsi ya kusambaza umeme wa Bwawa la Mwalimu Nyerere sehemu zote za nchi?
  • Na je, ni mikakati gani itatumiwa na serikali kuona kwamba umeme wetu unaozaliwa Bwawa la Mwalimu Nyerere unatumika kikamilifu?
  • Na je huko Ethiopia, si tunalipa kwa fedha za kigeni? Hizo gharama si zingetumika kusafirisha na kusambaza umeme wa Bwawa la Mwalimu Nyerere

Wananchi tunajiuliza haya maswali mengi maana tunajua mradi wa ujenzi wa umeme wa Bwawa la Mwalimi Nyerere umetugharimu sana, tena sana, kiasi cha karibia Trillioni 7, fedha za kitanzania.

Swali linalotukatisha tamaa, ni je hizo Trillioni 7 za Bwawa la Mwalimu Nyerer ni wasted investment?

Tupate ufafanuzi tafadhali!!
Du....mbo mbo ngafu!
 
Uko sahihi kabisa. Hakuna mtanzania ye yote mwenye akili timamu anayeweza kukubaliana na hizo sababu ya sisi kuanza ku import nishati ya umeme badala ya ku export umeme kama tulivyotarajia baada ya JNHPP kukamilika.

Ziada ya umeme tulionao (baada ya kutoa mahitaji yetu ya sasa) ni zaidi ya MW 2,000. Hao Ethiopia ziada yao haiifiki tuliyonayo sisi. Umeme tunaozalisha kwa mitambo ya maji huko JNHPP, Mtera, Kidatu, Nyumba ya Mungu na kwingineko unazidi mahitaji yetu. Ni umeme safi wa bei nafuu sana. Tulitegemea bei ya umeme ishuke hadi kuwa si zaidi ya Tsh 100 kwa unit kama ilivyokuwa ndoto ya JPM. Hii ingaliwezesha viwanda vyetu viongezeke na kuzalisha bidhaa zenye bei nafuu inayoweza kushindana kwenye masoko ya dunia. Pia ingaliwezesha kuboresha maisha ya watanzania hususani kwenye nishati nafuu ya kupikia na viwanda vidogo vidogo.

Umeme unaozalishwa kwa gesi bei yake ni mara 10 ya ule unaozalishwa kwa maji. Hivyo tulitegemea hiyo mitambo yote ya gesi ya pale Kinyerezi kuzimwa hadi hapo tutakapopata soko la nje la kuwauzia (export) na nchi kupata fedha za kigeni inazozihitaji sana. Na tayari miundo mbinu (njia) ya kupeleka umeme hadi Ethiopia, Kenya na Somalia tumeshaijenga kwa pesa zetu nyingi za kigeni za mikopo. Na sasa tulishaanza kujenga njia nyingine hadi South Africa kupitia Zambia. Na tunajenga bomba za kusafirishia gesi hadi Kenya, Uganda na Zambia ili tuweze ku export utajiri wetu wa gesi asilia. Au nazo bomba hizi zitaishia kutumika ku import gesi za nchi zingine?

Iweje sasa njia hizi badala ya kuzitumia ku export umeme wetu wa gesi wenye bei kubwa kupata dola (USD), ghafla tumeamua kuzitumia ku import umeme kuopeteza dola? Nani alimpa ushauri huo raisi wetu kwenye ziara yake huko Tanga? Eti kukatika katika kwa umeme kwenye mikoa hiyo ya Tanga, Kilimanjaro na Manyara kunatokana na mikoa hiyo kuwa mbali sana na vyanzo vya uzalishaji vya umeme vya JNHPP na Kinyerezi? Sasa huko Ethiopia ndiyo karibu kuliko JNHPP na Kinyerezi kweli? Mbona hata Mwanza, Mara, Kagera na Shinyanga ni mbali zaidi na umeme unakatikakatika? Hivyo mikoa hii nayo ipatiwe umeme wa Ethiopia? Ndiyo suluhisho lake kweli? Mwanzoni tuliambiwa tatizo ni njia za usambazaji ikiwemo ma transformers na serikali inalishughulikia na ilianzia kwenye jiji la Dar es Salaam. Baadaye Kafulila akapanga kubinafisha tanesco kwa jina la PPP!

Yaani tangia enzi za Richmond suala la umeme Tanzania limekuwa sarakasi juu ya sarakasi. Nani anaweza kukomesha hizi sarakasi? Bunge lilingilia sarakasi ya Richmond chini ya spika Samwel Sitta. Jee kwa sasa lina ubavu huo chini ya spika Tulia?
Umenena vema mkuu!
 
View attachment 3266577
Mimi ni mmoja wa watu nisioridhika na maelezo yaliyotolewa na serikali kupitia kwa Katibu Mkuu wa wizara ya Nishati ndg Felchesmi Mramba, juu ya sababu za kuagiza umeme toka Ethiopia.

Sababu zilizotolewa;
  • Umeme wa mikoa ya kaskazini unapelea au kukosekana kabisa
  • Kukosekana kwa umeme huko kunatookana na umbali kutoka sehemu za uzalishaji umeme, yaani Dar esalaam, kwa umeme kutokana na mitambo ya gesi, na umeme toka Mkoa wa Pwani/Morogroro toka Bwawa la Mwalimu Nyerere
  • Mikoa ya kaskazini inakosa umeme wa uhakika na kupungua sana kwa msongo(voltage)
  • Serikali itaagiza umeme wa 100MW, ili kurekebisha matatizo Moshi, Arusha na Manyara, na kwa kufanya hivyo Songwe itaweza kupata 17MW
Bhati mbaya haya maelezo hayakidhi.
Najiuliza maswali yafuatayo,
  • Je, kuna ukosefu wa Power production? jibu ni hapana kwani sasa hivi umeme unaozalishwa nchini 3,796MW, wakati mahitaji ni 2,200MW(Bwawa la Mwalimu Nyerere bado halijatenngeneza umeme at full caoacity)
  • Katika ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere hapakuwepo Feasibility study? Study ambayo ingeweza kuona jinsi ya kusambaza umeme wa Bwawa la Mwalimu Nyerere sehemu zote za nchi?
  • Na je, ni mikakati gani itatumiwa na serikali kuona kwamba umeme wetu unaozaliwa Bwawa la Mwalimu Nyerere unatumika kikamilifu?
  • Na je huko Ethiopia, si tunalipa kwa fedha za kigeni? Hizo gharama si zingetumika kusafirisha na kusambaza umeme wa Bwawa la Mwalimu Nyerere

Wananchi tunajiuliza haya maswali mengi maana tunajua mradi wa ujenzi wa umeme wa Bwawa la Mwalimi Nyerere umetugharimu sana, tena sana, kiasi cha karibia Trillioni 7, fedha za kitanzania.

Swali linalotukatisha tamaa, ni je hizo Trillioni 7 za Bwawa la Mwalimu Nyerer ni wasted investment?

Tupate ufafanuzi tafadhali!!
Ila ni ajabu sana umeme kutoka bwawa hilohilo unafika Dodoma, Singida, Shinyanga, Tabora na Mwanza ilahuo umeme hauwezi kufika KAT
 
Ila ni ajabu sana umeme kutoka bwawa hilohilo unafika Dodoma, Singida, Shinyanga, Tabora na Mwanza ilahuo umeme hauwezi kufika KAT
Huo umeme umechanjiwa, kuna sehemu hautaki kwenda.
 
Uko sahihi kabisa. Hakuna mtanzania ye yote mwenye akili timamu anayeweza kukubaliana na hizo sababu ya sisi kuanza ku import nishati ya umeme badala ya ku export umeme kama tulivyotarajia baada ya JNHPP kukamilika.

Ziada ya umeme tulionao (baada ya kutoa mahitaji yetu ya sasa) ni zaidi ya MW 2,000. Hao Ethiopia ziada yao haiifiki tuliyonayo sisi. Umeme tunaozalisha kwa mitambo ya maji huko JNHPP, Mtera, Kidatu, Nyumba ya Mungu na kwingineko unazidi mahitaji yetu. Ni umeme safi wa bei nafuu sana. Tulitegemea bei ya umeme ishuke hadi kuwa si zaidi ya Tsh 100 kwa unit kama ilivyokuwa ndoto ya JPM. Hii ingaliwezesha viwanda vyetu viongezeke na kuzalisha bidhaa zenye bei nafuu inayoweza kushindana kwenye masoko ya dunia. Pia ingaliwezesha kuboresha maisha ya watanzania hususani kwenye nishati nafuu ya kupikia na viwanda vidogo vidogo.

Umeme unaozalishwa kwa gesi bei yake ni mara 10 ya ule unaozalishwa kwa maji. Hivyo tulitegemea hiyo mitambo yote ya gesi ya pale Kinyerezi kuzimwa hadi hapo tutakapopata soko la nje la kuwauzia (export) na nchi kupata fedha za kigeni inazozihitaji sana. Na tayari miundo mbinu (njia) ya kupeleka umeme hadi Ethiopia, Kenya na Somalia tumeshaijenga kwa pesa zetu nyingi za kigeni za mikopo. Na sasa tulishaanza kujenga njia nyingine hadi South Africa kupitia Zambia. Na tunajenga bomba za kusafirishia gesi hadi Kenya, Uganda na Zambia ili tuweze ku export utajiri wetu wa gesi asilia. Au nazo bomba hizi zitaishia kutumika ku import gesi za nchi zingine?

Iweje sasa njia hizi badala ya kuzitumia ku export umeme wetu wa gesi wenye bei kubwa kupata dola (USD), ghafla tumeamua kuzitumia ku import umeme kuopeteza dola? Nani alimpa ushauri huo raisi wetu kwenye ziara yake huko Tanga? Eti kukatika katika kwa umeme kwenye mikoa hiyo ya Tanga, Kilimanjaro na Manyara kunatokana na mikoa hiyo kuwa mbali sana na vyanzo vya uzalishaji vya umeme vya JNHPP na Kinyerezi? Sasa huko Ethiopia ndiyo karibu kuliko JNHPP na Kinyerezi kweli? Mbona hata Mwanza, Mara, Kagera na Shinyanga ni mbali zaidi na umeme unakatikakatika? Hivyo mikoa hii nayo ipatiwe umeme wa Ethiopia? Ndiyo suluhisho lake kweli? Mwanzoni tuliambiwa tatizo ni njia za usambazaji ikiwemo ma transformers na serikali inalishughulikia na ilianzia kwenye jiji la Dar es Salaam. Baadaye Kafulila akapanga kubinafisha tanesco kwa jina la PPP!

Yaani tangia enzi za Richmond suala la umeme Tanzania limekuwa sarakasi juu ya sarakasi. Nani anaweza kukomesha hizi sarakasi? Bunge lilingilia sarakasi ya Richmond chini ya spika Samwel Sitta. Jee kwa sasa lina ubavu huo chini ya spika Tulia?
Umeme unazalishwa JNHP unafika mikoa ya mbali kama Singida halafu ishindikane kwenda Tanda Arusha na Klm
 
Sijajua Motives Ya Tanzania kununua Umeme Ethiopia, Lakini Hili Jambo sio geni wala Sio baya.

Inawezekana Kabisa ukawa na nyumba Bagamoyo, Lakini ukapanga Kimara kwasababu ni karibu na shughuri Zako za kila siku.

Hivyo tuendelee kuomba ufafanuzi wa motives ya TANESCO kununua umeme nje
 
View attachment 3266577
Mimi ni mmoja wa watu nisioridhika na maelezo yaliyotolewa na serikali kupitia kwa Katibu Mkuu wa wizara ya Nishati ndg Felchesmi Mramba, juu ya sababu za kuagiza umeme toka Ethiopia.

Sababu zilizotolewa;
  • Umeme wa mikoa ya kaskazini unapelea au kukosekana kabisa
  • Kukosekana kwa umeme huko kunatookana na umbali kutoka sehemu za uzalishaji umeme, yaani Dar esalaam, kwa umeme kutokana na mitambo ya gesi, na umeme toka Mkoa wa Pwani/Morogroro toka Bwawa la Mwalimu Nyerere
  • Mikoa ya kaskazini inakosa umeme wa uhakika na kupungua sana kwa msongo(voltage)
  • Serikali itaagiza umeme wa 100MW, ili kurekebisha matatizo Moshi, Arusha na Manyara, na kwa kufanya hivyo Songwe itaweza kupata 17MW
Bhati mbaya haya maelezo hayakidhi.
Najiuliza maswali yafuatayo,
  • Je, kuna ukosefu wa Power production? jibu ni hapana kwani sasa hivi umeme unaozalishwa nchini 3,796MW, wakati mahitaji ni 2,200MW(Bwawa la Mwalimu Nyerere bado halijatenngeneza umeme at full caoacity)
  • Katika ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere hapakuwepo Feasibility study? Study ambayo ingeweza kuona jinsi ya kusambaza umeme wa Bwawa la Mwalimu Nyerere sehemu zote za nchi?
  • Na je, ni mikakati gani itatumiwa na serikali kuona kwamba umeme wetu unaozaliwa Bwawa la Mwalimu Nyerere unatumika kikamilifu?
  • Na je huko Ethiopia, si tunalipa kwa fedha za kigeni? Hizo gharama si zingetumika kusafirisha na kusambaza umeme wa Bwawa la Mwalimu Nyerere

Wananchi tunajiuliza haya maswali mengi maana tunajua mradi wa ujenzi wa umeme wa Bwawa la Mwalimi Nyerere umetugharimu sana, tena sana, kiasi cha karibia Trillioni 7, fedha za kitanzania.

Swali linalotukatisha tamaa, ni je hizo Trillioni 7 za Bwawa la Mwalimu Nyerer ni wasted investment?

Tupate ufafanuzi tafadhali
Hakuna tatizo la umeme wala uhaba.
Usafirishaji wa umeme una changamoto ambazo ni kama unatoka Ethiopia ukiwa 200MW mpaka unafika Tanzania unakuta umepungua na kufika 110MW so 90MW zimeshapotea njiani. Hivyo Tanzania haihusiki na upotevu huo na hasara hiyo.Tanzania Italipa Megga Watts zilizopokelewa Sub Station tu. Serikali yetu haihusiki na upotevu ama kupunguza kwake wakati wa kuusafirisha.
➡️Like wise miundombinu ya kutoa umeme Bwawa la Mwalimu ni ghali zaidi +leakage kuliko kununua ambao umeshafikishiwa sub station.
 
Hakuna tatizo la umeme wala uhaba.
Usafirishaji wa umeme una changamoto ambazo ni kama unatoka Ethiopia ukiwa 200MW mpaka unafika Tanzania unakuta umepungua na kufika 110MW so 90MW zimeshapotea njiani. Hivyo Tanzania haihusiki na upotevu huo na hasara hiyo.Tanzania Italipa Megga Watts zilizopokelewa Sub Station tu. Serikali yetu haihusiki na upotevu ama kupunguza kwake wakati wa kuusafirisha.
➡️Like wise miundombinu ya kutoa umeme Bwawa la Mwalimu ni ghali zaidi +leakage kuliko kununua ambao umeshafikishiwa sub station.
Kwa hiyo tunafanya vitu vya maendeleo bila kufikiri au kufanya utafit.
Kwani Feasibility study iliyofanyika kwa ajili ya ujenzi wa Bwawa la JNHP .
Tunajenga kitu kikubwa sana kwa Trillioni 7 halafu hakina manufaa kwa nchi nzima?
 
Hakuna tatizo la umeme wala uhaba.
Usafirishaji wa umeme una changamoto ambazo ni kama unatoka Ethiopia ukiwa 200MW mpaka unafika Tanzania unakuta umepungua na kufika 110MW so 90MW zimeshapotea njiani. Hivyo Tanzania haihusiki na upotevu huo na hasara hiyo.Tanzania Italipa Megga Watts zilizopokelewa Sub Station tu. Serikali yetu haihusiki na upotevu ama kupunguza kwake wakati wa kuusafirisha.
➡️Like wise miundombinu ya kutoa umeme Bwawa la Mwalimu ni ghali zaidi +leakage kuliko kununua ambao umeshafikishiwa sub station.
Watu kama nyinyi ndio mnakaaga kwenye nyumba za kupanga kisa heti kujenga nyumba yako ni garama kubwa huu ni ujinga na upuuzi, uwezi kwenda kununua bidhaa kwa jirani wakati wewe mwenyewe hiyo bidhaa unayo kisa unaofia gharama,tunao viongozi wazembe wa kufikiri ndio Maana taifa aliwezi piga hatua.
 
Hakuna tatizo la umeme wala uhaba.
Usafirishaji wa umeme una changamoto ambazo ni kama unatoka Ethiopia ukiwa 200MW mpaka unafika Tanzania unakuta umepungua na kufika 110MW so 90MW zimeshapotea njiani. Hivyo Tanzania haihusiki na upotevu huo na hasara hiyo.Tanzania Italipa Megga Watts zilizopokelewa Sub Station tu. Serikali yetu haihusiki na upotevu ama kupunguza kwake wakati wa kuusafirisha.
➡️Like wise miundombinu ya kutoa umeme Bwawa la Mwalimu ni ghali zaidi +leakage kuliko kununua ambao umeshafikishiwa sub station.
Fikiri kidogo.
Ethiopia wao wajinga sisi wajanja?

Soma andiko langu hapo juu nimeandika kitaalamu halafu mtafute mtu aliyesomea umeme muulize..

Rufiji hadi mwanza na Tarime linganisha umbali na Ethiopia arusha. Unafahamu Pangani na bwawa la nyumba ya mungu umeme unazalishwa? KIihansi huko Kilombero umeme unazalishwa?

Usidandie jambo la kitaalamu bila kusoma kwanza nadharia za kitaalamu zilizopo.
 
Back
Top Bottom