Kwa hili la Mbowe Marekani na Umoja wa Ulaya wamejitia aibu, ni rasmi sasa kuna kitu wanakitafuta Tanzania

Ofisi za balozi wanapata taarifa moja kwa moja toka kwa wananchi hawataki taarifa za vyombo vya ccm, balozi zote wanaujua Ukweli jinsi ccm inavyowafanyizia wapinzani hata ukija na uongo wa kuwachafua Balozi za nje ni kama unajisumbua tu
 
Unachekesha wewe mpuuzi hivi mpaka kulaani unadhani wanategemea taarifa za polisi fisiemu,ambao Lisu kapigwa risasi na hakuna mtuhumiwa mpaka sasa hivi,wanachongea wanamaanisha masifi maji nyie watoa roho za watu
Dawa yenu ni kuwapuuza, maana mshakuwa kama nguruwe kila mtakachotupiwa kwenu ni chakula,

Nakuona ulivyo na hasira umefula vibaya kama NYUMBU vile
 
Wewe unajua nini?
Wewe umekuja na hoja ambayo kwanza ni nje kabisa na mada kuwa meli imekamatwa huko Libya ikiwa na bendera ya Tanzania.

Sasa nikuuliza Tanzania tuna meli ya masafa marefu hata moja.?
Jibu ni kwamba Tanzania hatuna meli za masafa marefu, sasa hujiulizi hiyo bendera ya Tanzania imefikaje huko kwenye meli ya watu.?
Alafu ina shehena ya silaha, Tanzania tunazalisha silaha sisi tangu lini?

Hao ni wahuni tu walio amua kutumia bendera yatu kwa makusudi yao binafsi.
 
Dawa yenu ni kuwapuuza, maana mshakuwa kama nguruwe kila mtakachotupiwa kwenu ni chakula,

Nakuona ulivyo na hasira umefula vibaya kama NYUMBU vile
ccm atampuuza nani? ccm angekuwa wa kupuuza asingekuwa anahangaika kuwafanyizia wapinzani angeacha kila mmoja aendelee na siasa zake
 
Wacha kutoa majibu mepesi kwenye masuala nyeti yanayo hitaji kutumia akili kubwa.
 
Ccm wanaogopa upinzani utadhani wapinzani ndiyo chama tawala
ccm atampuuza nani? ccm angekuwa wa kupuuza asingekuwa anahangaika kuwafanyizia wapinzani angeacha kila mmoja aendelee na siasa zake
 
Mbona tulishawang'amuwa siku nyingi na wataendelea kuumbuka kila siku!! Wanaingizwa chaka kila mara na wasaliti wanaowafadhiri.
uling’amua na nani? Kwa kipi uling’amua? Siku nyingi zipi? Nani ataendelea kuumbuka? nyie wachache waonevu ndiyo mtaumbuka wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…