Kwa hili la Morrison, Simba mmewaumiza TFF makusudi

Kwa hili la Morrison, Simba mmewaumiza TFF makusudi

Utopolo mnahangaika na morison ambae hawataki ajabu sana, nyie ni tasisi sajili ata mess au mbape aje Yanga.

Tulieni tukawatafutie nafasi ya viti maalum mwakani na nyie mshiriki club bingwa, maana mnaweza kaa miaka 10 bila kushiriki
Morrison hatusumbui tunataka tumkomeshe tu Na mpira hata cheza
 
Tff ndio wababaishaji wewe kujua kuwa sahihi hii ni ya kufoji ndio muda wote huo? Zipo case nyingi nyingi kama chuji hadi leo suala lake kama hili halijapatiwa majibu!! Kuhusu kujua hukumu, kwani hizo kamati za tff zinaundwa na kina nani?, wao simba je kama wamejilipua tu kuwa sisi tumemuamini morison kuwa amesema hana mkataba, yupo free hayo mengine hayatuhusu, kama tumeingia choo cha kike basi tutawajibika kwa hilo!! Hapo unasemaje. Ila kwa kinachoendelea viongozi wa yanga wanajua picha yote, hivyo ni kuwaadaa tu mashabiki wao!! Na tff hata kama akija na hukumu ya kumpa ushindi morison hakuna shida kwani, kesi si ni ushahidi?
Hapa ndiyo tutashuhudia nguvu ya CAS na FIFA hakika kama ni kweli Morrison alikuwa na mkataba na Yanga ( genuine) basi tutashuhudia maajabu makubwa kisoka kwa nchi yetu.
 
Timu mbumbumbu itaendelea kuwa mbumbumbu tuView attachment 1531916
Hayo maneno ya kocha yasikutishe hakuna mtu yeyote aliyeawahi kufurahi kufukuzwa kazi. So kujibu hvyo ilikua ni lazima. Mmesahau Zahera alivyotoa povu kali tena kwa kuzunguka vyombo vya habari km cluods na Efm kwa wiki nzima anatoa maneno ya kejeli lakini juzi kati clouds wanamhoji km akipewa nafasi atarudi yanga baada ya luc kutimuliwa akajibu wakimhitaji awezi kukataa.
 
Morrison hatusumbui tunataka tumkomeshe tu Na mpira hata cheza

Utamkomesha vip mtu unamlipa mshahala na posho za bure wakat hachezi yupo benchi tuu anajampiana matumizi mabaya ya pesa za umma
 
Maelezo marefu lakini hamna kitu kwa sasa hivi ili mkataba utambuliwe lazima usajiliwe tff kwenye mfumo wao na muda wa usajili unajulika mmebaki kung'ang'ani a tff wamesajili mkataba wa Morison na yanga wakati hata hamjui dirisha la usajili linakuwa lini nimeamini nyinyi ni uneducated, manyani na mambwa kama kocha wenu alivyowaita
 
Ukweli wa mambo anajua MCHEZAJI MWENYEWE KATUAMBIA YEYE ALIKUWA NA MKATABA WA MIEZI 6 SISI NI NANI HADI TUMBISHIE?.
Swali la kujiuliza kwanini yanga walimpa MKATABA WA MIEZI 6 ?

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Kila mtu atafungua nyuzi za Morrison Bernard kama vile yupo yeye tu duniani? Tumechoka. Sisi yanga tutaumia yataisha ila tutalipiza tu.

Mtalipiza na na nini mpira ndio hivyo mnaacha vifaa mnasajiri kwa utopolo style kama mwaka jana na ukisema kuwa utaiba wachezaji kutoka Simba nako pesa huna na hakuna mchezaji anayependa apate shida za kusafirishwa kwa Fuso aache mahali pa kukwea pipa...Yanga mnalo tena msimu huu na kwa usajili ule lazima kitang'ang'ania
 
Simba ni klabu kubwa na yenye heshima kubwa nchini na Afrika kwa ujumla, ni timu yenye historia iliyosheheni mambo mema katika nyanja ya burudani.

Lakini mbali ya ukubwa huo wa jina, bado Simba iko na itaendelea kufanya kazi chini ya Shirikisho la Soka nchini TFF kama mlezi na mwendeshaji wa shughuli zote za soka nchini.

Mgogoro kati ya mchezaji Morrison ulianza miezi kadhaa iliyopita na ulibaki Kama mgogoro binafsi unaozihusu Yanga na Morrison huku TFF akibaki mwamuzi asiye na upande. Ghafla Morrison akagoma kucheza Yanga akisema mkataba wake umeisha kwani ulikuwa wa miezi 6 pekee, lakini Yanga wakamshtaki Morrison TFF kupitia Kamati husika inayojihusisha na haki za wachezaji.

Yanga wakaambiwa wapeleke vielelezo vya mkataba wa miaka miwili (ambao ulishasajiliwa na TFF na CAF), na baada ya TFF kupokea nakala halisi (Original Copy) ya mkataba huo Wakamuita Morrison lakini akaukana.

Hivyo TFF wakalazimika kuhusisha vyombo vya uchunguzi wa kijinai (Polisi) ili isaidie kupata ukweli wa suala hili kama saini iliyoko kwenye mkataba ni ya Morrison kweli (genuine) au ni ya kughushi (forged).

Kabla majibu ya uchunguzi huo hayajatolewa hadharani na mamlaka mhusika (TFF), Jana likaibuka suala ambalo klabu yoyote makini isingeweza kulifanya. Akaonekana Morrison akisainishwa mkataba mpya na Klabu ya Simba, akavalia Uzi wa Simba na akaunti ya klabu ikaliweka tukio hilo kuonesha kuwa ni official event.

Hapa ndipo ninapolazimika kuwaambia Simba mmewaingiza TFF kwenye mtego ambao huenda ukawapa maumivu makali na wasieleweke kwa yeyote hata wakijitetea.

Nani ataamini TFF endapo watakuja na majibu kwamba mkataba ule ni feki kwa vile saini imeghushiwa iwapo tayari wapinzani wa mlalamikaji mnaonekana mnajua hukumu ya kesi kabla ya kusomwa rasmi? Watu wakisema (na wana haki ya kusema) kwamba TFF wamewapa kilichoko kwenye hukumu (wamevujisha) mtakataa? Kwa nini hata kama mlitaka kufanya, msingefanya jambo hili kimya kimya ili likija kinyume mnachana mkataba au likiwa upande wenu mnaibuka kwa shangwe?

Mmewezaje kufunga ndoa na mwanamke ambaye anadai talaka mahakamani na kesi inaendelea? Nani mwenye akili fupi kiasi hiki huko hadi anafyanya mambo ambayo yanatakiwa kufanywa na Lufinyo FC ya Madibila?
Senzo kashawakimbia, uswahili mwingi pale!
 
Ukweli wa mambo anajua MCHEZAJI MWENYEWE KATUAMBIA YEYE ALIKUWA NA MKATABA WA MIEZI 6 SISI NI NANI HADI TUMBISHIE?.
Swali la kujiuliza kwanini yanga walimpa MKATABA WA MIEZI 6 ?

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Hakumwamini kutokana na historia yake!
Simba eamemchukua ili kuwakejrli Yanga otherwise BM hsfai!
 
Simba ni klabu kubwa na yenye heshima kubwa nchini na Afrika kwa ujumla, ni timu yenye historia iliyosheheni mambo mema katika nyanja ya burudani.

Lakini mbali ya ukubwa huo wa jina, bado Simba iko na itaendelea kufanya kazi chini ya Shirikisho la Soka nchini TFF kama mlezi na mwendeshaji wa shughuli zote za soka nchini.

Mgogoro kati ya mchezaji Morrison ulianza miezi kadhaa iliyopita na ulibaki Kama mgogoro binafsi unaozihusu Yanga na Morrison huku TFF akibaki mwamuzi asiye na upande. Ghafla Morrison akagoma kucheza Yanga akisema mkataba wake umeisha kwani ulikuwa wa miezi 6 pekee, lakini Yanga wakamshtaki Morrison TFF kupitia Kamati husika inayojihusisha na haki za wachezaji.

Yanga wakaambiwa wapeleke vielelezo vya mkataba wa miaka miwili (ambao ulishasajiliwa na TFF na CAF), na baada ya TFF kupokea nakala halisi (Original Copy) ya mkataba huo Wakamuita Morrison lakini akaukana.

Hivyo TFF wakalazimika kuhusisha vyombo vya uchunguzi wa kijinai (Polisi) ili isaidie kupata ukweli wa suala hili kama saini iliyoko kwenye mkataba ni ya Morrison kweli (genuine) au ni ya kughushi (forged).

Kabla majibu ya uchunguzi huo hayajatolewa hadharani na mamlaka mhusika (TFF), Jana likaibuka suala ambalo klabu yoyote makini isingeweza kulifanya. Akaonekana Morrison akisainishwa mkataba mpya na Klabu ya Simba, akavalia Uzi wa Simba na akaunti ya klabu ikaliweka tukio hilo kuonesha kuwa ni official event.

Hapa ndipo ninapolazimika kuwaambia Simba mmewaingiza TFF kwenye mtego ambao huenda ukawapa maumivu makali na wasieleweke kwa yeyote hata wakijitetea.

Nani ataamini TFF endapo watakuja na majibu kwamba mkataba ule ni feki kwa vile saini imeghushiwa iwapo tayari wapinzani wa mlalamikaji mnaonekana mnajua hukumu ya kesi kabla ya kusomwa rasmi? Watu wakisema (na wana haki ya kusema) kwamba TFF wamewapa kilichoko kwenye hukumu (wamevujisha) mtakataa? Kwa nini hata kama mlitaka kufanya, msingefanya jambo hili kimya kimya ili likija kinyume mnachana mkataba au likiwa upande wenu mnaibuka kwa shangwe?

Mmewezaje kufunga ndoa na mwanamke ambaye anadai talaka mahakamani na kesi inaendelea? Nani mwenye akili fupi kiasi hiki huko hadi anafyanya mambo ambayo yanatakiwa kufanywa na Lufinyo FC ya Madibila?
Uliza uambiwe. Simba wana ukweli kutoka kwa wachunguzaji kuwa Yanga wameghushi sain. Sasa shida ni mini hapo. SIMBA KLABU KUBWA INA WATU MILA IDARA NYETI YA HII NCHI
 
Pale posta karibu na jengo la RITA kuna watu wamesomea kuchonga sahihi/Saini(Signature) ya mtu yeyoye duniani.
 
Simba ni klabu kubwa na yenye heshima kubwa nchini na Afrika kwa ujumla, ni timu yenye historia iliyosheheni mambo mema katika nyanja ya burudani.

Lakini mbali ya ukubwa huo wa jina, bado Simba iko na itaendelea kufanya kazi chini ya Shirikisho la Soka nchini TFF kama mlezi na mwendeshaji wa shughuli zote za soka nchini.

Mgogoro kati ya mchezaji Morrison ulianza miezi kadhaa iliyopita na ulibaki Kama mgogoro binafsi unaozihusu Yanga na Morrison huku TFF akibaki mwamuzi asiye na upande. Ghafla Morrison akagoma kucheza Yanga akisema mkataba wake umeisha kwani ulikuwa wa miezi 6 pekee, lakini Yanga wakamshtaki Morrison TFF kupitia Kamati husika inayojihusisha na haki za wachezaji.

Yanga wakaambiwa wapeleke vielelezo vya mkataba wa miaka miwili (ambao ulishasajiliwa na TFF na CAF), na baada ya TFF kupokea nakala halisi (Original Copy) ya mkataba huo Wakamuita Morrison lakini akaukana.

Hivyo TFF wakalazimika kuhusisha vyombo vya uchunguzi wa kijinai (Polisi) ili isaidie kupata ukweli wa suala hili kama saini iliyoko kwenye mkataba ni ya Morrison kweli (genuine) au ni ya kughushi (forged).

Kabla majibu ya uchunguzi huo hayajatolewa hadharani na mamlaka mhusika (TFF), Jana likaibuka suala ambalo klabu yoyote makini isingeweza kulifanya. Akaonekana Morrison akisainishwa mkataba mpya na Klabu ya Simba, akavalia Uzi wa Simba na akaunti ya klabu ikaliweka tukio hilo kuonesha kuwa ni official event.

Hapa ndipo ninapolazimika kuwaambia Simba mmewaingiza TFF kwenye mtego ambao huenda ukawapa maumivu makali na wasieleweke kwa yeyote hata wakijitetea.

Nani ataamini TFF endapo watakuja na majibu kwamba mkataba ule ni feki kwa vile saini imeghushiwa iwapo tayari wapinzani wa mlalamikaji mnaonekana mnajua hukumu ya kesi kabla ya kusomwa rasmi? Watu wakisema (na wana haki ya kusema) kwamba TFF wamewapa kilichoko kwenye hukumu (wamevujisha) mtakataa? Kwa nini hata kama mlitaka kufanya, msingefanya jambo hili kimya kimya ili likija kinyume mnachana mkataba au likiwa upande wenu mnaibuka kwa shangwe?

Mmewezaje kufunga ndoa na mwanamke ambaye anadai talaka mahakamani na kesi inaendelea? Nani mwenye akili fupi kiasi hiki huko hadi anafyanya mambo ambayo yanatakiwa kufanywa na Lufinyo FC ya Madibila?
Acha uzuzu mkuu morison mwenywe anadai mkataba wake na yanga ni wa miezi 6 huo mkataba wa miaka miwili ni wa kugushi, tatizo lenu yanga hamtaki kumaliza migogoro iliyopo na kufukuza vile vizee vya kiswahili ambavyo vinaleta migogoro isiyoisha.
 
Simba ni klabu kubwa na yenye heshima kubwa nchini na Afrika kwa ujumla, ni timu yenye historia iliyosheheni mambo mema katika nyanja ya burudani.

Lakini mbali ya ukubwa huo wa jina, bado Simba iko na itaendelea kufanya kazi chini ya Shirikisho la Soka nchini TFF kama mlezi na mwendeshaji wa shughuli zote za soka nchini.

Mgogoro kati ya mchezaji Morrison ulianza miezi kadhaa iliyopita na ulibaki Kama mgogoro binafsi unaozihusu Yanga na Morrison huku TFF akibaki mwamuzi asiye na upande. Ghafla Morrison akagoma kucheza Yanga akisema mkataba wake umeisha kwani ulikuwa wa miezi 6 pekee, lakini Yanga wakamshtaki Morrison TFF kupitia Kamati husika inayojihusisha na haki za wachezaji.

Yanga wakaambiwa wapeleke vielelezo vya mkataba wa miaka miwili (ambao ulishasajiliwa na TFF na CAF), na baada ya TFF kupokea nakala halisi (Original Copy) ya mkataba huo Wakamuita Morrison lakini akaukana.

Hivyo TFF wakalazimika kuhusisha vyombo vya uchunguzi wa kijinai (Polisi) ili isaidie kupata ukweli wa suala hili kama saini iliyoko kwenye mkataba ni ya Morrison kweli (genuine) au ni ya kughushi (forged).

Kabla majibu ya uchunguzi huo hayajatolewa hadharani na mamlaka mhusika (TFF), Jana likaibuka suala ambalo klabu yoyote makini isingeweza kulifanya. Akaonekana Morrison akisainishwa mkataba mpya na Klabu ya Simba, akavalia Uzi wa Simba na akaunti ya klabu ikaliweka tukio hilo kuonesha kuwa ni official event.

Hapa ndipo ninapolazimika kuwaambia Simba mmewaingiza TFF kwenye mtego ambao huenda ukawapa maumivu makali na wasieleweke kwa yeyote hata wakijitetea.

Nani ataamini TFF endapo watakuja na majibu kwamba mkataba ule ni feki kwa vile saini imeghushiwa iwapo tayari wapinzani wa mlalamikaji mnaonekana mnajua hukumu ya kesi kabla ya kusomwa rasmi? Watu wakisema (na wana haki ya kusema) kwamba TFF wamewapa kilichoko kwenye hukumu (wamevujisha) mtakataa? Kwa nini hata kama mlitaka kufanya, msingefanya jambo hili kimya kimya ili likija kinyume mnachana mkataba au likiwa upande wenu mnaibuka kwa shangwe?

Mmewezaje kufunga ndoa na mwanamke ambaye anadai talaka mahakamani na kesi inaendelea? Nani mwenye akili fupi kiasi hiki huko hadi anafyanya mambo ambayo yanatakiwa kufanywa na Lufinyo FC ya Madibila?
Nasikia Senzo amejiuzulu...bila Shaka hakutaka kuhusishwa na ujinga huu uliofanyika kumhusu Morrison..
 
Nasema hiviiii,, tatizo la yanga ni uswahili uswahili mwingi usiokuwa na maana.
 
Simba ni klabu kubwa na yenye heshima kubwa nchini na Afrika kwa ujumla, ni timu yenye historia iliyosheheni mambo mema katika nyanja ya burudani.

Lakini mbali ya ukubwa huo wa jina, bado Simba iko na itaendelea kufanya kazi chini ya Shirikisho la Soka nchini TFF kama mlezi na mwendeshaji wa shughuli zote za soka nchini.

Mgogoro kati ya mchezaji Morrison ulianza miezi kadhaa iliyopita na ulibaki Kama mgogoro binafsi unaozihusu Yanga na Morrison huku TFF akibaki mwamuzi asiye na upande. Ghafla Morrison akagoma kucheza Yanga akisema mkataba wake umeisha kwani ulikuwa wa miezi 6 pekee, lakini Yanga wakamshtaki Morrison TFF kupitia Kamati husika inayojihusisha na haki za wachezaji.

Yanga wakaambiwa wapeleke vielelezo vya mkataba wa miaka miwili (ambao ulishasajiliwa na TFF na CAF), na baada ya TFF kupokea nakala halisi (Original Copy) ya mkataba huo Wakamuita Morrison lakini akaukana.

Hivyo TFF wakalazimika kuhusisha vyombo vya uchunguzi wa kijinai (Polisi) ili isaidie kupata ukweli wa suala hili kama saini iliyoko kwenye mkataba ni ya Morrison kweli (genuine) au ni ya kughushi (forged).

Kabla majibu ya uchunguzi huo hayajatolewa hadharani na mamlaka mhusika (TFF), Jana likaibuka suala ambalo klabu yoyote makini isingeweza kulifanya. Akaonekana Morrison akisainishwa mkataba mpya na Klabu ya Simba, akavalia Uzi wa Simba na akaunti ya klabu ikaliweka tukio hilo kuonesha kuwa ni official event.

Hapa ndipo ninapolazimika kuwaambia Simba mmewaingiza TFF kwenye mtego ambao huenda ukawapa maumivu makali na wasieleweke kwa yeyote hata wakijitetea.

Nani ataamini TFF endapo watakuja na majibu kwamba mkataba ule ni feki kwa vile saini imeghushiwa iwapo tayari wapinzani wa mlalamikaji mnaonekana mnajua hukumu ya kesi kabla ya kusomwa rasmi? Watu wakisema (na wana haki ya kusema) kwamba TFF wamewapa kilichoko kwenye hukumu (wamevujisha) mtakataa? Kwa nini hata kama mlitaka kufanya, msingefanya jambo hili kimya kimya ili likija kinyume mnachana mkataba au likiwa upande wenu mnaibuka kwa shangwe?

Mmewezaje kufunga ndoa na mwanamke ambaye anadai talaka mahakamani na kesi inaendelea? Nani mwenye akili fupi kiasi hiki huko hadi anafyanya mambo ambayo yanatakiwa kufanywa na Lufinyo FC ya Madibila?
Mhhh usiwafokee mbumbu FC
 
Ata kama mchezaji hakua amelipwa chochote na Yanga uo mkataba alio saini bado haujavunjika kwakua mkataba ni nyaraka ya kisheria,kwakua shauri Lao liikua lipo Tff. Yaani kama ni ndoa ata kama mwanamke alikua amekwenda kushtaki kunyanyaswa na mumewe kwakutopewa fedha ya matunzo na wasuluhishi (Tff) hawajalipatia ufumbuzi, Chaku shangaza mwenyemke (yanga) alisha toa malalamiko Tff kama angalizo mkewe (Morrison) Kuna jirani anamfukuzia. Kabla usuluhishi hajapatikana jirani anatangaza kashafunganae ndoa kwakua mwenyemke alikua hatimizi mahitaji yake.
Mkiambiwa mbumbumbu fc un educated mnabisha. Mwachieni Manara akafundishe Madrassa aya mambo ya mpira hayaitaji mikurupuko.
Kama Tff watashindwa kuishusha Simba daraja nitashangaa sana kwakua nijambo ambalo lilisha pelekwa na yanga kama lalamiko kua simba inamrubuni Morrison tena kwa barua rasmi ya malalamiko, Bila woga Uongozi wa Simba umemtangaza Morrison ka imemsajili kwenye Official page ya club sasa ata ilo Tff itahitaji uchunguzi? Jumatatu tunatarajia kilakitu kitamalizwa kabisa kwakua ushahidi umeshakamilika.
Manyani fc!
 
Acha uzuzu mkuu morison mwenywe anadai mkataba wake na yanga ni wa miezi 6 huo mkataba wa miaka miwili ni wa kugushi, tatizo lenu yanga hamtaki kumaliza migogoro iliyopo na kufukuza vile vizee vya kiswahili ambavyo vinaleta migogoro isiyoisha.
Mimi siyo Yanga, lakini nadhani majibu umeyapata nani Zuzu kati yangu na wewe baada ya Senzo kufanya niliyoelezea.
 
Back
Top Bottom