Kwa hili la TANROADS na Mfugale nadhani Magufuli ameanza kunielewa

Kwa hili la TANROADS na Mfugale nadhani Magufuli ameanza kunielewa

Interesting point. Waziri Mkuu alitoa maagizo kwa waziri wa Ujenzi. Waziri wa Ujenzi akatoa maagizo kwa Mfugale. Na Mfugale akagoma kuyatekeleza. Waziri wa Ujenzi akamwambia Mfugale basi ziara inayofuata ya PM nenda wewe mie siendi maana nitakosa la kumjibu. Mfugale akasema wewe niachie mie, na ndio akamjibu Waziri Mkuu mimi ndio naetekeleza maagizo unayotoa (yaani sio Waziri wa Ujenzi). Kisha akampa sababu kwa nini hajatekeleza. Baada ya wiki mbili daraja likabomoka. PM alikasirika hadi kigugumizi, akashindwa hata kutamka Andalwisye na Mfugale! Magufuli akaingilia kati.
Aisee kuna mengi tusiyoyajua,Magufuli hatamgusa swaiba wake..
 
Endeleeni kupiga ramli, mwacheni rais afanye kazi yake.
Hivi unajua hao unaowaambia wanapiga ramli ndio wanaolipia kwa kodi zinazokatwa kwenye mishahara yao na biashara wanazofanya?

Unaonyesha either hujui unaongea nini au hujafikia umri wa kuchangia maendeleo ya taifa hili.

Mkisikia Rais sijui mnamuona kama Mungu? Ni mtu kama wewe na mimi. Ni mfanyakazi wetu tumemuajiri asimamie maendeleo ya taifa. Sasa mwajiri analazimikaje kumwogopa mfanyakazi?

Au mfanyakazi kashatuloga?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa watu hawafai kabisa na siwezi kuendesha gari huko tena katika maisha yangu
Ni hivi nilikuwa namsaidia dereva aliekuwa kachoka usiku
Qhafla nikakutana na kifusi kikubwa cha na kwenye kifusi ndio wameweka alama ya diversion
Bahati nzuri nilikuwa naenda taratibu tu yaani unaweza kukutana na daraja limekatika ukadumbukia tu
Kweli sisi bado sana katika usalama wa barabara


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Hawa watu hawafai kabisa na siwezi kuendesha gari huko tena katika maisha yangu
Ni hivi nilikuwa namsaidia dereva aliekuwa kachoka usiku
Qhafla nikakutana na kifusi kikubwa cha na kwenye kifusi ndio wameweka alama ya diversion
Bahati nzuri nilikuwa naenda taratibu tu yaani unaweza kukutana na daraja limekatika ukadumbukia tu
Kweli sisi bado sana katika usalama wa barabara


Sent from my iPhone using Tapatalk
Kwa kifupi Mfugale kadumaa na kufubaa pale ujenzi, hivi sasa kazeeka hawezi kwenda na wakati na technologies yake anayoijua imepitwa na wakati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Interesting point. Waziri Mkuu alitoa maagizo kwa waziri wa Ujenzi. Waziri wa Ujenzi akatoa maagizo kwa Mfugale. Na Mfugale akagoma kuyatekeleza. Waziri wa Ujenzi akamwambia Mfugale basi ziara inayofuata ya PM nenda wewe mie siendi maana nitakosa la kumjibu. Mfugale akasema wewe niachie mie, na ndio akamjibu Waziri Mkuu mimi ndio naetekeleza maagizo unayotoa (yaani sio Waziri wa Ujenzi). Kisha akampa sababu kwa nini hajatekeleza. Baada ya wiki mbili daraja likabomoka. PM alikasirika hadi kigugumizi, akashindwa hata kutamka Andalwisye na Mfugale! Magufuli akaingilia kati.
Hamna kavideo mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unatuchanganya hapa. Madaraja yanajengwaje kisiasa? Uokoaji changamoto ajali zikitokea?

..kwanza, barabara zinatakiwa ziwe na UPANA wa kutosha kwa magari kupishana kwa usalama.

..pili, zinatakiwa zijengwe kwa namna ambayo inawezesha shughuli za UOKOAJI ikiwa kutatokea ajali.

..hayo yanatakiwa yazingatiwe juu ya UBORA wa barabara zenyewe.

..sasa niambie kama ujenzi wa barabara zetu umezingatia hayo mawili.
 
Mie nadhani anajisahau sana kutokana na kujua yuko karibu na Magufuli. Sasa hapo changanya na kale katabia ka Kihehe ka kuwa na "kidada"
Hili la ukaguzi wa barabara hasa sehemu mashimo nikupongeze. Umepaza sauti sana na umetoa ushauri mzuri. Pongezi sana.
 
Hivi unajua hao unaowaambia wanapiga ramli ndio wanaolipia kwa kodi zinazokatwa kwenye mishahara yao na biashara wanazofanya?

Unaonyesha either hujui unaongea nini au hujafikia umri wa kuchangia maendeleo ya taifa hili.

Mkisikia Rais sijui mnamuona kama Mungu? Ni mtu kama wewe na mimi. Ni mfanyakazi wetu tumemuajiri asimamie maendeleo ya taifa. Sasa mwajiri analazimikaje kumwogopa mfanyakazi?

Au mfanyakazi kashatuloga?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ati rais anamwogopa mtu, mnafikiri huyu ni Vasco Da Gama? JPM anafanya kazi ambayo rais yeyote anayejitambua anafanya. Natumaini unapata salam kila kinachoendelea ndani ya TZ.
 
Nilisema wazi, kwamba kuna ajali nyingi sana na watu kufa nchini na sababu kubwa ni uzembe wa TANROADS, wala sio suala la madereva. Ndio kuna ajali zinazotokea kutokana na uzembe wa madereva, lakini si kila ajali inatokana na uzembe wa dereava. Dereva anaweza kuwa mzembe na kusababisha ajali katika sehemu ambayo TANROADS wamefanya uzembe, sehemu ambayo kama TANROADS wasingekuwa wamefanya uzembe, uzembe wa dereva usingesababisha ajali (TANROADS negligence compounded by driver's negligence).

Nilisisitiza sana kwamba Mfugale anafanya matumizi mabaya ya fedha ya kurekebisha barabara ambayo tunachangia kila tunaponunua mafuta (Road Maintenance Fund)

Ajali iliyoua watu 6 Dodoma: Wanaopaswa kukamatwa na kuwekwa ndani ni Mfugale na Meneja wa Dodoma wa TANROADS Dodoma, sio dereva wa lori

Mfugale awavimbia Waziri Mkuu na Waziri wa Ujenzi kwa kivuli cha Rais Magufuli?


Ndio maana nilisema;

Magufuli atoe amri kwa Mfugale kwamba kuanzia sasa sitaki kusikia ajali imetokea kwenye barabara kuu za lami za TANROADS na chanzo eti kulikuwa na gari ikikwepa shimo dereva aliloona ghafla katikati ya barabara, au daraja limekatika
  1. Kila meneja wa mkoa wa TANROADS, fanya ukaguzi wa kila wakati wa barabara kuu zote za lami na kuhakikisha eidha mashimo yamefukiwa permanently au kwa hatua za muda
  2. Shimo lolote lililofukiwa kwa hatua za muda sehemu hiyo iwekwe alama za tahadhali kwa madereva kuwaonya juu ya uwepo wa shimo kubwa barabarani. Kwa hiyo wakaguzi watembee na alama za onyo kuweka barabarani
  3. KIla mvua kubwa ikinyesha TANROADS wapite kufanya ukaguzi barabarani kuhakikisha hakuna vifusi vilivyuporomokea barabarani au madaraja kuathirika au kuwa na takataka zinazozuia maji.
  4. Kila Mkoa wa TANROADS uwe na kikosi cha kazi cha kurekebisha barabara kwa muda na kiwe on call masaa 24 kwa siku katika siku saba za juma
  5. TANROADS wawe na call centre ya road emergency na watoe namba za simu za emergency au watumie 112 ili madereva wanapoona hali mbaya barabarani wawapigie na watatue hilo tatizo mara moja. Namba hizi zitangazwe kikamili pamoja na kuwekwa kwenye stika za insurance ili watu wazione na kuzijua
Hebu niambieni wana JF, Mfugale akitekeleza haya, ni ajali ngapi na vifo vingapi vitaepushwa? NI gharama kubwa kiasi gani itahitajika kufanya haya?

Je Magufuli amesikia? Angalia hii clip.


Unanikumbusha ajali ya Majinja eneo la kukaribia Mafinga kama unatoka Nyororo uzembe ule Tanroads wakakaa kimya kabisa, kuna barabara ya Igawa-Tunduma haiko vizuri kabisa na inamagari mengi sana, Tanroads kuna tatizo kubwa la kiutendaji
 
Hivi unajua hao unaowaambia wanapiga ramli ndio wanaolipia kwa kodi zinazokatwa kwenye mishahara yao na biashara wanazofanya?

Unaonyesha either hujui unaongea nini au hujafikia umri wa kuchangia maendeleo ya taifa hili.

Mkisikia Rais sijui mnamuona kama Mungu? Ni mtu kama wewe na mimi. Ni mfanyakazi wetu tumemuajiri asimamie maendeleo ya taifa. Sasa mwajiri analazimikaje kumwogopa mfanyakazi?

Au mfanyakazi kashatuloga?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kula kulala huyo usikute anaishi kwa Mme wa Dada yake
 
Back
Top Bottom