curie
JF-Expert Member
- Oct 25, 2020
- 699
- 1,600
Kuna ndugu yangu ni kitengo huko serikali tena idara ya elimu na ndo kashikilia bango swala la viboko.
Wakati yeye mtoto wake anayesoma shule kapuni hapa dar juzi mwanae kunusurika kufukuzwa bada ya utovu wa nidhani.
Kimbembe sasa huyu ndgu yangu kidgo amuue mwanae kwa bakola zisizo na idadi huku akichapa kila sehemu anayoona.
Sasa akabidi walimu waahirishe zoezi la kumfukuza shule make angeweza kuua huko nyumbani.
Sasa huko mtandaoni alivyocharuka.
Wakati yeye mtoto wake anayesoma shule kapuni hapa dar juzi mwanae kunusurika kufukuzwa bada ya utovu wa nidhani.
Kimbembe sasa huyu ndgu yangu kidgo amuue mwanae kwa bakola zisizo na idadi huku akichapa kila sehemu anayoona.
Sasa akabidi walimu waahirishe zoezi la kumfukuza shule make angeweza kuua huko nyumbani.
Sasa huko mtandaoni alivyocharuka.