Kwa hili la viboko kuna 'double standard'

Kwa hili la viboko kuna 'double standard'

Kwa hili ilivyo mashuleni hizo ni bakola za kawaida mno tena mno
 
Kuna ndugu yangu ni kitengo huko serikali tena idara ya elimu na ndo kashikilia bango swala la viboko.

Wakati yeye mtoto wake anayesoma shule kapuni hapa dar juzi mwanae kunusurika kufukuzwa bada ya utovu wa nidhani.

Kimbembe sasa huyu ndgu yangu kidgo amuue mwanae kwa bakola zisizo na idadi huku akichapa kila sehemu anayoona.

Sasa akabidi walimu waahirishe zoezi la kumfukuza shule make angeweza kuua huko nyumbani.

Sasa huko mtandaoni alivyocharuka.
Yule RC wa Precision nimemsikia anasema walimu hawafuati kanuni za uchapaji viboko, sijui yeye alifuata kanuni gani kule Umalila
 
Kama hamtaki wachapwe wafundisheni wenye ila huku site nyuma ya camera wadogo wanaomba poo
 
Hilo swala ni pana sana,huko Twitter nimeona video walimu wanavihoji vitoto vya kiume vimekulana vipo kama sita,sijui ni Zanzibar
Ni Tangaa, afu vya shule ya msingi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom