Kwa hili la Wachezaji wetu kuvalishwa Vijora Sisi Wanayanga Hatukubali

Kwa hili la Wachezaji wetu kuvalishwa Vijora Sisi Wanayanga Hatukubali

Sasa hapa ndiyo inasadifu yale Maneno ya Eymael aliyotuita sisi washabiki wa Yanga kuwa "Uneducated". Yani Stock ya Msimu uliopita tulishindwa kuiuza hata nusu yake mpaka GSM wakatishia kutokutoa Jezi mpya mpaka zimalize za Msimu uliopita halafu tuje tununue Jezi za Simba tupigie Deki? Bora tunyamaze tu.
Ukiona mtu anamnukuu Eymael jua na yeye ana shida, kwanza watu "educated hawaropoki kama yule chizi, hapo kasomea ukocha tu, hivi angekuwa ni mtaalam wa physics au hesabu si angeota pembe kabisa?
 
Salaam Wananchi,


Kwa Masikitiko makubwa Mimi nikiwa Yanga kindakindaki sikubaliani na hili, Yani Simba watengenezewe Jezi halafu sisi tutengenezewe Vijora?

Kwa Vijora hivi sisi hatukubaliani na GSM kabisa.

Ona sasa Watani zetu wameshatupatia a.k.a mpya wanatuita VIJORA FC.

GSM munatukwaza.
Vijora fc[emoji196][emoji196][emoji196][emoji617][emoji617][emoji617][emoji777][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Salaam Wananchi,


Kwa Masikitiko makubwa Mimi nikiwa Yanga kindakindaki sikubaliani na hili, Yani Simba watengenezewe Jezi halafu sisi tutengenezewe Vijora?

Kwa Vijora hivi sisi hatukubaliani na GSM kabisa.

Ona sasa Watani zetu wameshatupatia a.k.a mpya wanatuita VIJORA FC.

GSM munatukwaza.
Sagula sagula, mambo ya buku buku tu
Wengine wanasema "nguvu ya buku."
yanga_sc_group_of_supporters-20200918-0001.jpg
 
Hivi kumbe na nyie mmeliona hili
Yani jambo likitokea Yanga wao ndio wanaanza kulinadi sisi wenyewe tumetulia,Yani taarifa za Yanga unazipata kwa mashabiki wa Simba tena inaanzia kwa Msemaji wao Manara
Jersey mnaisakama ila yao hatukusema
Sare yao si hatujasema ila wao walivalia njuga yetu
Account ya Yangasc na wachezaji wake instagram 50% ya Followers ni Simba fans

Yani Simba hawalali ni Yanga,Yanga,Yanga
Simba ni klabu ya kipumbavu sana, muda wote wako bize kufuatlia mambo ya Yanga, Sasa hivi nchi nzima inaimba jina la CARHINHO, yule jambazi wa magari morison kashapotea, sisi ndio wananchi tunampandisha mchezaji na kumshusha
 
Sagula sagula, mambo ya buku buku tu
Wengine wanasema "nguvu ya buku."View attachment 1573055

Yani unazidi kuprove kuwa maneno aliyosema aliyekuwa Kocha Wetu Mtaalamu Eymael ya kutuita " Uneducated " hakukosea!

Hivi hujui kuwa hata Jezi za Manchester, Barcelona Real na Liverpool zinatolewa Fake na kuuzwa kwa Mafungu pale Kariakoo?
 
Yani unazidi kuprove kuwa maneno aliyosema aliyekuwa Kocha Wetu Mtaalamu Eymael ya kutuita " Uneducated " hakukosea!

Hivi hujui kuwa hata Jezi za Manchester, Barcelona Real na Liverpool zinatolewa Fake na kuuzwa kwa Mafungu pale Kariakoo?
Ha haah, hizo ni orijino usitake kupotosha hapa, mbumbumbu wewe. Iweje makao makuu ya mikia yawe Kariakoo halafu jezi feki ziuzwe hapo hapo? Usitufanye watoto, huo utetezi kautoe kwenye kitchen party (in Rage's voice!)
 
Ha haah, hizo ni orijino usitake kupotosha hapa, mbumbumbu wewe. Iweje makao makuu ya mikia yawe Kariakoo halafu jezi feki ziuzwe hapo hapo? Usitufanye watoto, huo utetezi kautoe kwenye kitchen party (in Rage's voice!)

Sisi washabiki wa Yanga huwa hatuongei Pumba Mkuu, wewe huenda ni katika wale Walioitwa Nyani.
 
Sisi washabiki wa Yanga huwa hatuongei Pumba Mkuu, wewe huenda ni katika wale Walioitwa Nyani.
Mikia akasema mbumbumbu fc. Unapenda kujitambulisha kama Yanga sio? Itafika wakati kila mtanzania atashabikia timu ya wananchi, acha papara. Kwa sasa chukua za uso kwanza.
 
Back
Top Bottom