Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,943
Habari ndugu wananchi!
Mafuriko ya wananchi kwenye ofisi za NIDA hasa kipindi hiki kuelekea tarehe za kufungwa line ambazo hazijasajiliwa kwa alama za vidole linatupa ukakasi juu ya ufahamu na uelewa wa wananchi.
Kitambulisho cha taifa si kwa ajili ya kusajilia line, suala la kitambulisho cha taifa kusajilia line ni jambo la ziada tu.
Kitambulisho cha taifa kinamtambulisha Mtanzania uraia wake na ndio dhima haswa. Kila mwananchi hapaswi kupuuza kufuatilia na kukipata kitambulisho hiki na si kwaajili ya kumuezesha kupata pass ya kusafiria au kusajilia line za simu tu.
Yaani watu hawakuona umuhimu wa kitambulisho cha UTAIFA NA URAIA WAO mpaka walipoambiwa kuwa line zao zitawekwa rumande!!
Inasikitisha sana.
Mafuriko ya wananchi kwenye ofisi za NIDA hasa kipindi hiki kuelekea tarehe za kufungwa line ambazo hazijasajiliwa kwa alama za vidole linatupa ukakasi juu ya ufahamu na uelewa wa wananchi.
Kitambulisho cha taifa si kwa ajili ya kusajilia line, suala la kitambulisho cha taifa kusajilia line ni jambo la ziada tu.
Kitambulisho cha taifa kinamtambulisha Mtanzania uraia wake na ndio dhima haswa. Kila mwananchi hapaswi kupuuza kufuatilia na kukipata kitambulisho hiki na si kwaajili ya kumuezesha kupata pass ya kusafiria au kusajilia line za simu tu.
Yaani watu hawakuona umuhimu wa kitambulisho cha UTAIFA NA URAIA WAO mpaka walipoambiwa kuwa line zao zitawekwa rumande!!
Inasikitisha sana.