white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Ligi inendeshwa kwa matakwa ya timu 2 tu!!wakilalamika kidogo tayariHuku kudekeza timu, angalia sababu ya timu moja, kusogezwa mbele kwa wiki moja mchezo wao. Ni mwanzo tu wa ligi yetu kuanza!
Hii sio ligi, waliyoiona watakusaidia !!ujinga mnaowafanyia TFF, ndio huo huo mtake kuupeleka CAF lazima muumie tu.Weka
weka huo ushahidi hapa la sivyo ni umbea na uchochezi
Sawa mimi sijaona naomba uniwekee hapaHii sio ligi, waliyoiona watakusaidia !!ujinga mnaowafanyia TFF, ndio huo huo mtake kuupeleka CAF lazima muumie tu.
MmeonewaYanga ndio kwanza mwaka huu ameshiriki michuano mikubwa, lakini mbona CAF, wametoa onyo kwa uhuni unaofanywa na timu za Tz, kwenye vyumba vya kubadirishia nguo, kuwa kuna dawa zimekuwa zikipulizwa?na ushahidi upo wa video SIMBA, wakifanya hayo!!!tatizo letu chama cha soka kinaziogopa sana hizi timu mbili!!kama vipi wapige ban tu mechi zote za virabu zichezwe nje,
Ndio tatizo la ushabiki mandazi huo!!mtu akitoa maoni yake tayari juu ya timu hizo tayari ni shabiki wake.tena hiyo dola 5000 ni ndogo sana, wangepigwa hata dola laki 2!!ili hayo mambo ya kishamba yaishee.kule hakuna TFFMmeonewa
[emoji102][emoji102]Una Tiwa savage
Wamesogezwa kwasababu wanashiriki CAF, na nyie kandambili rudini CAF kama mnaweza msogezwe mbele.Huku kudekeza timu, angalia sababu ya timu moja, kusogezwa mbele kwa wiki moja mchezo wao. Ni mwanzo tu wa ligi yetu kuanza!
Ila we ni uto ata ukijifichaSasa kupulizia madawa kwenye vyumba vya wapinzani wako, si ndio ushamba wenyewe huo!!!kupita geti lingine , kuruka ukuta wa uwanja si ndio ushamba wenyewe huo?!!na kwa timu hii ya kuunga unga uliyonayo msimu huu, mbona tutashuhudia mengi!!!
Wa mchangani uto wameanza malalamikoWamesogezwa kwasababu wanashiriki CAF, na nyie kandambili rudini CAF kama mnaweza msogezwe mbele.
Simba hatuna fala kama wewe, tafuta timu nyingine ya kushabikia.Ungekuwa mfuatiliaji kidogo ungejua mimi niko timu gani, hii nchi yanga na simba ni za kufuta kabisa, hakuna mpira bali maneno maneno tu!!leo timu inapigwa faini imepewa muda wa kujitetea ikaamua kukaa kimya!!wakijindanganya labda ndio dawa, kuna timi hapo bali wahuni tu.kiongozi wa timu pinzani anapigwa rungu?!!
Miezi mitatu mingi mkuu.Watakuja kusema "Hiyo milioni 11 ni pesa ndogo sana kwa Wananchi".
Natabiri imebakia miezi mitatu kabla ya kuanza kulaumiwa Karia na TFF.
We ndiyo maandazi na umeandika umaandazi wako. Lini Simba ilishashtakiwa kwa hayo. Utopolo mnapiga watu/wageni na vitu vizito kichwani! Halafu mchekewe tuNi sawa!!wale sio wababaishaji wanachokisema wana uhakika nacho, ni mala ngapi msimu wa mwaka jana timu nyingi zilipokuwa zinakuja kucheza na simba zilikuwa zikilalamika juu wa uhuni unaofanyika kwenye vyumba vya kubadirishia nguo?tatizo la nchi hii kuna ushabiki MANDAZI, mimi nikiisema simba naonekana mi ni yanga, na nikiisema yanga vibaya naonekana simba!Ni video ngapi mwaka jana zimeonekana simba wakipulizia dawa kwenye vyumba va wapinzani??achana na ligi ya ndani watu kuamini zaidi ushirikina hadi timu kuruka ukuta wa uwanja, Tff wapo tu, eti timu inalipishwa laki 5!!kata point 3, uone kama kuna uhuni huo tena.