Ni sawa!!wale sio wababaishaji wanachokisema wana uhakika nacho, ni mala ngapi msimu wa mwaka jana timu nyingi zilipokuwa zinakuja kucheza na simba zilikuwa zikilalamika juu wa uhuni unaofanyika kwenye vyumba vya kubadirishia nguo?tatizo la nchi hii kuna ushabiki MANDAZI, mimi nikiisema simba naonekana mi ni yanga, na nikiisema yanga vibaya naonekana simba!Ni video ngapi mwaka jana zimeonekana simba wakipulizia dawa kwenye vyumba va wapinzani??achana na ligi ya ndani watu kuamini zaidi ushirikina hadi timu kuruka ukuta wa uwanja, Tff wapo tu, eti timu inalipishwa laki 5!!kata point 3, uone kama kuna uhuni huo tena.