Kwa hili LATRA wanamhujumu Rais Samia Suluhu

Kwa hili LATRA wanamhujumu Rais Samia Suluhu

Makuku Rey

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2013
Posts
3,497
Reaction score
3,823
Tunashukuru Bei mpya za mafuta zimetangazwa na zimeshaanza kutumika kwenye vituo vyetu vya mafuta kuanzia tarehe 1/6/2022.

Lakini nnachojiuliza kwanini LATRA imepata kigugumizi kutangaza nauli mpya zilizoshushwa kwa daladala na mabasi ya mikoani?

Mbona Bei ya mafuta ilipopanda kwa Tsh 100 tu nauli zilipanda Mara dufu?leo imeshuka 300 nzima Ila nauli zimebaki vilevile.

Kama lengo la Rais Samia kutoa ile ruzuku ya billions za mihela ilikuwa Ni kupunguza nauli na gharama za maisha zilizopanda kutokana na gharama za mafuta basi bila kuficha HAJAFANIKIWA.

MAMA SAMIA AMEFANYA LATRA WAMEKWAMA😞😞=MAMA SAMIA AMEKWAMA.
 
Binafsi sikuona maana ya kusema mafuta yameshuka ikiwa bei za nauli zinabaki vilevile! Hapa kuna ufisadi unaonekana dhahiri.
 
Unashukuru nn Sasa na wew

Aliyesababisha mpk tumefika Hapo Ni huyo unayemshukuru
 
Sio Nauli Tu,Hakuna Bidhaa Yeyote Itayoshuka Bei katika Nchi hii....Muwe mnaelewa maana ya Siasa.
 
Kam lalamikie Mama Yako,Bro.
Hivi kipindi hiki tata bado kuna watu wanajipendekeza.
Ivi mmerogwa na nani?
 
Kwa hili la LATRA kupata kigugumizi kushusha nauli za mabasi,,

aibu nimeona mimi.
 
Viongozi wa nchi hii huwa hawareact haraka mpk waagizwe utafikiri wamerogwa au hakuna mawasiliano maana ilitakiwa huyu anakokotoa mafuta yatapungua kiasi gani huyu anakokotoa nauli ishuke kiasi gani kutokana na ruzuku iliyotolewa lakini hauoni hilo huku wameshapunguza lkn huyu wa nauli hata hajielewi au kawekwa mfukoni na wenye magari ili waendelee kupata super profit

Huyu mkurugenzi wa Latra ni wa kupewa kesi ya uhujumu uchumi kwa kutuibia wananchi, Mama amuweke kwenye radar zake zuhura yunus atoe press release
 
Unashukuru nn Sasa na wew

Aliyesababisha mpk tumefika Happ Ni huyo unayemshukuru

Nakubaliana na wewe mkuu,Mama Samia alinilaghai kwa kauli yake ya kupunguza Bei ya mafuta kuanzia tarehe mwezi June,kumbe wanavosema usimwamini mwanamke huwa wanamaanisha🙄.

Sasa si Ni kheri Bei irudi vilevile?!
 
Tunashukuru Bei mpya za mafuta zimetangazwa na zimeshaanza kutumika kwenye vituo vyetu vya mafuta kuanzia tarehe 1/6/2022.

Lakini nnachojiuliza kwanini LATRA imepata kigugumizi kutangaza nauli mpya zilizoshushwa kwa daladala na mabasi ya mikoani?!
Mbona Bei ya mafuta ilipopanda kwa Tsh 100 tu nauli zilipanda Mara dufu?leo imeshuka 300 nzima Ila nauli zimebaki vilevile.

Kama lengo la Mama Samia kutoa ile ruzukuya billions za mihela ilikuwa Ni kupunguza nauli na gharama za maisha zilizopanda kutokana na gharama za mafuta Basi bila kuficha HAJAFANIKIWA.

MAMA SAMIA AMEFANYA LATRA WAMEKWAMA[emoji20][emoji20]=MAMA SAMIA AMEKWAMA.
Kwa hili Latra kutangaza bei mpya ya nauli ni usumbufu tu, baada ya miazi mitatu mafuta ya tarudi vile vile na kupita, mama hana uwezo wa kulinda bei za mafuta kua chini hiyo ruzuku ya 100bn ni kiduchu sanaa ni kupata tu political goals ila sio economic goals
 
nauli ikipanda huwa kushuka ni ndoto..
 
Tunashukuru Bei mpya za mafuta zimetangazwa na zimeshaanza kutumika kwenye vituo vyetu vya mafuta kuanzia tarehe 1/6/2022.

Lakini nnachojiuliza kwanini LATRA imepata kigugumizi kutangaza nauli mpya zilizoshushwa kwa daladala na mabasi ya mikoani?

Mbona Bei ya mafuta ilipopanda kwa Tsh 100 tu nauli zilipanda Mara dufu?leo imeshuka 300 nzima Ila nauli zimebaki vilevile.

Kama lengo la Rais Samia kutoa ile ruzuku ya billions za mihela ilikuwa Ni kupunguza nauli na gharama za maisha zilizopanda kutokana na gharama za mafuta basi bila kuficha HAJAFANIKIWA.

MAMA SAMIA AMEFANYA LATRA WAMEKWAMA[emoji20][emoji20]=MAMA SAMIA AMEKWAMA.
Mara nyingi nimekuambia kwa akili uliyonayo usijihusishe kwenye mijadala ambayo inapaswa akili itumike
Mafuta hayakupanda bei kwa sh 100, yalipanda kwa sh 300 ndipo Bei mpya ya nauli ikaja
Mafuta hayajashuka bei kwa sh 300, yameshuka kwa sh 150
 
Jikite kwenye hoja mkuu,acha kumgeuza nyoka ili uangalie matiti[emoji51]
Unaona ulivyo hauna akili, umeulizwa kulingana na ulichoandika. Lini yalipanda kwa sh 100?
Hivi kuwa Mwalimu ni kujipa ticket ya kuwa mjinga?
 
Hii nchi tunao ielewa ni wachache wengine mtaishia kumbwela mbwela tu😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom