Kwa hili mabinti wa Kimeru pokeeni maua yenu

Kwa hili mabinti wa Kimeru pokeeni maua yenu

Unanitisha bloangu manake huyo hata mimi nilipiga mara moja halafu nikakaa kando,sasa huyo mjuba mwingine sijui kajichanganya nini aisee,ina maana huo mchupa huenda ulikuwa unipasue mimi,nimeepushwa,simkaribii ng'oo
Mmeru akikupenda wanajua kupenda siobpoa.
Akisha kupenda hakikisha unaacha kuchepuka au hakikisha hunaswi, anaweza kukuchoma kisu au motošŸ˜‚
 
Hawa Hawa kina mungure, ama akyoo, au kina isangya aseeh..... Ngoja nipite tengeru kusalimia
 
Mkuu, nitumie namba ya mmeru mmoja nijionee uumbaji na usisahau utakua na posho yako baada ya mimi kuthibitisha ukisemacho.
 
Mmeru akikupenda wanajua kupenda siobpoa.
Akisha kupenda hakikisha unaacha kuchepuka au hakikisha hunaswi, anaweza kukuchoma kisu au motošŸ˜‚
Duh,kumbe sio poa
 
Hivi wameru watani wao ni kina nani? Nilisikia hawana watani sijui ni kweli.
 
Back
Top Bottom