Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Kwa hiyo wengine kawaumba akili ikiwa haijatulia?kuna wakati nahisi ikifika mungu akigundua anayemuumba ni mmeru bac hapo lazma anatuliza sana akiliš¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo wengine kawaumba akili ikiwa haijatulia?kuna wakati nahisi ikifika mungu akigundua anayemuumba ni mmeru bac hapo lazma anatuliza sana akiliš¤£
NdiyoYaani wote hapa tunasoma jinsi tu makalio yanavyosifiwa.
Mmeru akikupenda wanajua kupenda siobpoa.Unanitisha bloangu manake huyo hata mimi nilipiga mara moja halafu nikakaa kando,sasa huyo mjuba mwingine sijui kajichanganya nini aisee,ina maana huo mchupa huenda ulikuwa unipasue mimi,nimeepushwa,simkaribii ng'oo
Duh,kumbe sio poaMmeru akikupenda wanajua kupenda siobpoa.
Akisha kupenda hakikisha unaacha kuchepuka au hakikisha hunaswi, anaweza kukuchoma kisu au motoš
looh mbona kama anaenda harusini huyu?View attachment 3227496
Kaeni kwanza tafadhali.
haohao mkuu akina sumari, nasari, mbiseHawa Hawa kina mungure, ama akyoo, au kina isangya aseeh..... Ngoja nipite tengeru kusalimia
Haya narenduhaohao mkuu akina sumari, nasari, mbise
Hapana mie sio ila nimezaliwa hukoHivi usikute na babe wangu SweetyCandy naye ni Mmeru!