mkoani Arusha,mashule mengi ya private walimu wanaofundisha pale ni wa kutoka kenya na ukizingatia wanajificha kutokana na kua hawana uraia hali hii inazuia vijana wa tanzania kupata kazi ktk shule hizo,migration naomba mwende huko wakenya na waganda wamejaa,mimi nafahamu shule hizo na hao watu hata kwa majina.