Kwa hili: Nawapongeza mashabiki wa simba na walinzi wa uwanja wa Taifa kwa ubaya ubwela waliowafanyia waarabu leo

Kwa hili: Nawapongeza mashabiki wa simba na walinzi wa uwanja wa Taifa kwa ubaya ubwela waliowafanyia waarabu leo

Nimesikitika sana pamoja na ushindi wa mezani na mashabiki wa simba kung'oa viti kwenye kombe la single mothers ila bado simba iko nafasi ya tatu, Bravo kidedea tena, kiufundi siioni kolowizard ikitoboa kwenye hili kundi!!
Hizo takwimu zenu na azam yenu sisi hazitushtui....naona azam ana zake na caf wana zao...
Poleni masingo masa wastaafu...
 
Refa kazingua kinoma,alitakiwa atandikwe sana,haiwezekani zimeongezwa dakika 7,akaacha hadi dakika ya 9 na masekunde ili goli Lilongwe.Kazingua sana.
Tatzo la kushabikia mpira ukubwan kisa bwana ako anapenda mpira na wew unafata mkumbo
 
Refa kazingua kinoma,alitakiwa atandikwe sana,haiwezekani zimeongezwa dakika 7,akaacha hadi dakika ya 9 na masekunde ili goli Lilongwe.Kazingua sana.

aggysimbasportsclub-20241215-0001.jpg
Screenshot_20241215-215108.png
 
Mechi za Bravo baada ya dk za nyongeza kuisha zilikuja kuongezwa 3 kwenye zile za nyongeza,hata kwenye livescore mechi za ulaya unakuta dk zimeongezwa 5 unashangaa zimefika hadi 10
Marefa wa uingereza hasa hasa huwa wanatabia ya kuongeza dakika zao
 
Nimesikitika sana pamoja na ushindi wa mezani na mashabiki wa simba kung'oa viti kwenye kombe la single mothers ila bado simba iko nafasi ya tatu, Bravo kidedea tena, kiufundi siioni kolowizard ikitoboa kwenye hili kundi!!
Haya mtatoboa nyie uto. Maana ukiligeuza juu chini kundi lenu mnakuwa wa kwanza.
 
Refa kazingua kinoma,alitakiwa atandikwe sana,haiwezekani zimeongezwa dakika 7,akaacha hadi dakika ya 9 na masekunde ili goli Lilongwe.Kazingua sana.
Zimeongezwa dakika halafu wakawa wanacheza Simba peke yao?
 
Nimesikitika sana pamoja na ushindi wa mezani na mashabiki wa simba kung'oa viti kwenye kombe la single mothers ila bado simba iko nafasi ya tatu, Bravo kidedea tena, kiufundi siioni kolowizard ikitoboa kwenye hili kundi!!
Mbwa kweli wewe. Utatoboa wewe mwenye pointi 1...kafirwe huko.
 
Mbwa kweli wewe. Utatoboa wewe mwenye pointi 1...kafirwe huko.
Kimsingi ni kweli ushabiki wenu vijana wa kisasa unaboa kwani wengi wanajitoa ufahamu hata kwa vitu vya wazi kabisa.

Mechi tumangalia wote Azam TV na hakuna sehemu mashabiki wa Simba walianza kutoa viti ila matusi sio mazuri. Usimtukane mwenzako naa jitahidini kuchukuliana mkuu.
 
Refa kazingua kinoma,alitakiwa atandikwe sana,haiwezekani zimeongezwa dakika 7,akaacha hadi dakika ya 9 na masekunde ili goli Lilongwe.Kazingua sana.
De utopolo gongowazi, uliangalia mechi ya Bravos vs Costantine?
 
Walioumia kwa goli la jioni wajinyonge
Ni kweli mlihusika kung'oa viti kama baadhi ya wajumbe walivyochangia mawazo yao hapo juu? Maana hamna historia nzuri na huo uwanja wa Taifa. Mlishawahi kufanya hilo tukio hapo kabla. Binafsi sikuangalia hiyo mechi yenu!
 
Nimesikitika sana pamoja na ushindi wa mezani na mashabiki wa simba kung'oa viti kwenye kombe la single mothers ila bado simba iko nafasi ya tatu, Bravo kidedea tena, kiufundi siioni kolowizard ikitoboa kwenye hili kundi!!
Nenda kapime choo usovu tatizo lako🐸wahed
 
Refa kazingua kinoma,alitakiwa atandikwe sana,haiwezekani zimeongezwa dakika 7,akaacha hadi dakika ya 9 na masekunde ili goli Lilongwe.Kazingua sana.
hizo dakika alikuwa anacheza simba A na B au, je angefungwa simba kwenye hizo dakika wangempiga refa na kungoa viti
 
Wote tumeangalia mechi hii. Baada ya kufungwa goli la 2 mashabiki na viongozi wa waarabu wakaanza vurugu.

Inawezekana ni kweli wamekasirishwa na muda wa goli kufungwa ila kitendo cha kungoa viti na kuanza kufanya vurugu hakikubaliwi na mtu yoyote na kwa namna yoyote ile.

Binafsi nawapongeza mashabiki wa Simba pamoja na walinzi wa uwanja kwa kuwatuliza hao waarabu waliokuwa wanafanya vurugu.

Kongole kwenu wana ubaya ubwela. Haiwezekani mwarabu atoke Tunisia na kuja kungoa viti uwanja wetu alafu tuwachekee.

Hata kama wamekwazwa na muda wa goli, wangetafuta namna nyingine ya kuonesha hisia zao ila sio kungoa viti na kupiga refa huku wanaangaliwa.

Picha zinajieleza kwa kile kilichofanyika uwanjani. Toka tukiwa wadogo tumekuwa tukasikia na kuona malalamiko kwa kile kifanywacho na waarabu dhidi ya Timu zetu.

Leo wamefundishwa na kushikishwa heshima. Watambe kwao na sio kwetu.
View attachment 3177497
View attachment 3177523
Kumbe sheria za dakika za nyongeza zinakanuni zake, ukipoteza muda refa ana simamisha saa yake, kwasasa ukipoteza muda inakula kwako
 
Nimesikitika sana pamoja na ushindi wa mezani na mashabiki wa simba kung'oa viti kwenye kombe la single mothers ila bado simba iko nafasi ya tatu, Bravo kidedea tena, kiufundi siioni kolowizard ikitoboa kwenye hili kundi!!
Ila vyura watatoboa!
 
Back
Top Bottom