Hizo takwimu zenu na azam yenu sisi hazitushtui....naona azam ana zake na caf wana zao...Nimesikitika sana pamoja na ushindi wa mezani na mashabiki wa simba kung'oa viti kwenye kombe la single mothers ila bado simba iko nafasi ya tatu, Bravo kidedea tena, kiufundi siioni kolowizard ikitoboa kwenye hili kundi!!
Tatzo la kushabikia mpira ukubwan kisa bwana ako anapenda mpira na wew unafata mkumboRefa kazingua kinoma,alitakiwa atandikwe sana,haiwezekani zimeongezwa dakika 7,akaacha hadi dakika ya 9 na masekunde ili goli Lilongwe.Kazingua sana.
Refa kazingua kinoma,alitakiwa atandikwe sana,haiwezekani zimeongezwa dakika 7,akaacha hadi dakika ya 9 na masekunde ili goli Lilongwe.Kazingua sana.
Marefa wa uingereza hasa hasa huwa wanatabia ya kuongeza dakika zaoMechi za Bravo baada ya dk za nyongeza kuisha zilikuja kuongezwa 3 kwenye zile za nyongeza,hata kwenye livescore mechi za ulaya unakuta dk zimeongezwa 5 unashangaa zimefika hadi 10
Yaan anaezungumzia dakika kama ni mwanaume ujue kaanza kufatilia mpira ukubwan au ni mwanamke
Goli la Yanga lilifungwa dakika ya ngapi? Na ziliongezwa dakika ngapi ktk mechi hiyo?Unazungumziaje upotezaji wa dakika wa kulala na kujiangusha
Kwani hao waarabu ndani ya hizo dakika walifungwa miguu?Refa kazingua kinoma,alitakiwa atandikwe sana,haiwezekani zimeongezwa dakika 7,akaacha hadi dakika ya 9 na masekunde ili goli Lilongwe.Kazingua sana.
Haya mtatoboa nyie uto. Maana ukiligeuza juu chini kundi lenu mnakuwa wa kwanza.Nimesikitika sana pamoja na ushindi wa mezani na mashabiki wa simba kung'oa viti kwenye kombe la single mothers ila bado simba iko nafasi ya tatu, Bravo kidedea tena, kiufundi siioni kolowizard ikitoboa kwenye hili kundi!!
Ushasema wasioitakia mema. Tuwaache waendelee kuumia wakati points 3 zipo kibindoni😃😃Sasa mbona watu wasioitakia mema Simba wanaumia sanaa?
Zimeongezwa dakika halafu wakawa wanacheza Simba peke yao?Refa kazingua kinoma,alitakiwa atandikwe sana,haiwezekani zimeongezwa dakika 7,akaacha hadi dakika ya 9 na masekunde ili goli Lilongwe.Kazingua sana.
Mbwa kweli wewe. Utatoboa wewe mwenye pointi 1...kafirwe huko.Nimesikitika sana pamoja na ushindi wa mezani na mashabiki wa simba kung'oa viti kwenye kombe la single mothers ila bado simba iko nafasi ya tatu, Bravo kidedea tena, kiufundi siioni kolowizard ikitoboa kwenye hili kundi!!
Kimsingi ni kweli ushabiki wenu vijana wa kisasa unaboa kwani wengi wanajitoa ufahamu hata kwa vitu vya wazi kabisa.Mbwa kweli wewe. Utatoboa wewe mwenye pointi 1...kafirwe huko.
De utopolo gongowazi, uliangalia mechi ya Bravos vs Costantine?Refa kazingua kinoma,alitakiwa atandikwe sana,haiwezekani zimeongezwa dakika 7,akaacha hadi dakika ya 9 na masekunde ili goli Lilongwe.Kazingua sana.
MbebebwaUkiona mtu anamlalamikia refa ujue huyo ni yuleeee mwenye point 1
Hakuna lolote watafanya na Sare tutaipataSubiri mwende kwao mvae Helmet kabisa
Ni kweli mlihusika kung'oa viti kama baadhi ya wajumbe walivyochangia mawazo yao hapo juu? Maana hamna historia nzuri na huo uwanja wa Taifa. Mlishawahi kufanya hilo tukio hapo kabla. Binafsi sikuangalia hiyo mechi yenu!Walioumia kwa goli la jioni wajinyonge
Nenda kapime choo usovu tatizo lako🐸wahedNimesikitika sana pamoja na ushindi wa mezani na mashabiki wa simba kung'oa viti kwenye kombe la single mothers ila bado simba iko nafasi ya tatu, Bravo kidedea tena, kiufundi siioni kolowizard ikitoboa kwenye hili kundi!!
hizo dakika alikuwa anacheza simba A na B au, je angefungwa simba kwenye hizo dakika wangempiga refa na kungoa vitiRefa kazingua kinoma,alitakiwa atandikwe sana,haiwezekani zimeongezwa dakika 7,akaacha hadi dakika ya 9 na masekunde ili goli Lilongwe.Kazingua sana.
Kumbe sheria za dakika za nyongeza zinakanuni zake, ukipoteza muda refa ana simamisha saa yake, kwasasa ukipoteza muda inakula kwakoWote tumeangalia mechi hii. Baada ya kufungwa goli la 2 mashabiki na viongozi wa waarabu wakaanza vurugu.
Inawezekana ni kweli wamekasirishwa na muda wa goli kufungwa ila kitendo cha kungoa viti na kuanza kufanya vurugu hakikubaliwi na mtu yoyote na kwa namna yoyote ile.
Binafsi nawapongeza mashabiki wa Simba pamoja na walinzi wa uwanja kwa kuwatuliza hao waarabu waliokuwa wanafanya vurugu.
Kongole kwenu wana ubaya ubwela. Haiwezekani mwarabu atoke Tunisia na kuja kungoa viti uwanja wetu alafu tuwachekee.
Hata kama wamekwazwa na muda wa goli, wangetafuta namna nyingine ya kuonesha hisia zao ila sio kungoa viti na kupiga refa huku wanaangaliwa.
Picha zinajieleza kwa kile kilichofanyika uwanjani. Toka tukiwa wadogo tumekuwa tukasikia na kuona malalamiko kwa kile kifanywacho na waarabu dhidi ya Timu zetu.
Leo wamefundishwa na kushikishwa heshima. Watambe kwao na sio kwetu.
View attachment 3177497
View attachment 3177523
Ila vyura watatoboa!Nimesikitika sana pamoja na ushindi wa mezani na mashabiki wa simba kung'oa viti kwenye kombe la single mothers ila bado simba iko nafasi ya tatu, Bravo kidedea tena, kiufundi siioni kolowizard ikitoboa kwenye hili kundi!!