Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Naomba nisiitaje ofisi husika ili kuondoa tafarani.
Kutoka makao makuu yetu tumepokea fomu maalumu ambazo tumezijaza vizur. Hizi fomu tumeambiwa ndizo zitatumika katika kutupandisha madaraja.
Cha kusikitisha yametumwa na majina kabisa ya wanaopaswa kuzijaza.
Mtu mumeajiriwa pamoja anakukodolea mimacho unapoijaza mpaka unamuonea huruma.
Daaahh hili zoezi linaweza kujaa rushwa, ukabila na kujuana.
Mungu tusaidie
Kutoka makao makuu yetu tumepokea fomu maalumu ambazo tumezijaza vizur. Hizi fomu tumeambiwa ndizo zitatumika katika kutupandisha madaraja.
Cha kusikitisha yametumwa na majina kabisa ya wanaopaswa kuzijaza.
Mtu mumeajiriwa pamoja anakukodolea mimacho unapoijaza mpaka unamuonea huruma.
Daaahh hili zoezi linaweza kujaa rushwa, ukabila na kujuana.
Mungu tusaidie