Kwa hili nililoliona leo, naomba niilaumu Serikali kidogo. Nimehuzunika sana

Kwa kweli Dar ni kubwa. I came to Dar in 1981 January lakini kwa mara ya kwanza nimefika MWANAGATI last week. Huko Mwanagati sikuona bar hata moja. Bar nimekuja kuziona Haliyahewa au Banana lkn hazijachangamka kama za huku kwetu. Niliagiza beer moja castle lite na mhudumu nikamwambia na yeye achukue kinywaji anachotaka kwa hela yangu. Wakati naondoka aliniuliza. Mbona sijamuomba namba ya simu? Huku pia nimeona magari ya KISEMVULE . Hili jina kisemvule limekaa kama tusi baya baya
 
Ooohh...hivi ni mbagala au mbagra? Mi hilo jina linanitatiza. Kule watu wana maisha magumu sana. Wanakula mara tatu tu kwa siku.nmeshangaa jamaa alikuwa ananielezea.

MBAGALA NI ENEO AMBALO ANATOKEA MCHEZAJI MBWANA SAMATA MCHEZAJI WA KWANZA KUCHEZA LIGI BORA DUNIANI EPL KUTOKA TANZANIA ,ANGALIA KIJANA
 
Msaada kipati hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahhahahahah hapo sawaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbagra wanaingilia madirishani kea daladala
 
Ukisikia nje ya mji ndo huko
Ni maeneo tulivu kabisa hayo .
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ooohh...hivi ni mbagala au mbagra? Mi hilo jina linanitatiza. Kule watu wana maisha magumu sana. Wanakula mara tatu tu kwa siku.nmeshangaa jamaa alikuwa ananielezea.
Mdogo wangu utakuja niua mnabu zimauma sana dah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…