Kwa hili Qatar wameupiga mwingi

Hakuna sema viongozi wa dini wengine wanashirikiana na serikali mfano yule papa anasapot live anaangusha dini tena public
Na keep akilini dhambi zitazidi kushamiri tu , miaka 10 ni mingi hapo hapo Qatar utakuta kuna mashoga tena wanatambuliwa kabisa na serikali kuna nguvu kubwa ambayo inasukuma agenda hii na haitashindwa na nchi yoyote ile
 
Waislamu wanaendesha mambo kifarisayo yaani wanapenda kuonekana sana kuwa wao wanamjua Mungu sana wakati kimsingi dini ya aina hiyo haijawahi kufaulu
Dhambi inatibiwa kwa maombi mengi tena ya kina na yenye hoja zenye akili.
 
Mbona kama comment yako ipo kuunanga uislam?
 
Waislamu wanaendesha mambo kifarisayo yaani wanapenda kuonekana sana kuwa wao wanamjua Mungu sana wakati kimsingi dini ya aina hiyo haijawahi kufaulu
Dhambi inatibiwa kwa maombi mengi tena ya kina na yenye hoja zenye akili.
Bangi haikufai mkuu, maombi yanayotibu watu ndio yale ya kukanyaga mafuta huko moshi na watu kufariki?
 
Ila huohuo uislamu inaona watu wanaoendelea kufa kwa kufanyishwa kazi ngumu kwa ujira kidogo nisawa tu?
 
Bangi haikufai mkuu, maombi yanayotibu watu ndio yale ya kukanyaga mafuta huko moshi na watu kufariki?
Tanzania ushoga umeshimir pwan na visiwan Zanzibar , tueleze kidg kwann ? au hawajui din?
 
Tanzania ushoga umeshimir pwan na visiwan Zanzibar , tueleze kidg kwann ? au hawajui din?
Sio kweli nin hakina ni propaganda punguza ujinga kaa ulete tafita tuangalie mashoga wangapi tuanzie watu maarufu kama sio wanaotokea kaskazini punguza propaganda leta evidence maana hujui hata pwani hujafika


Sipendi kubishana nataka evidence karibu
 
Tanzania ushoga umeshimir pwan na visiwan Zanzibar , tueleze kidg kwann ? au hawajui din?
Anaejiua dini hawezi kuwa shoga, ndio maana huwezi kuta kwenye uislam unajadiliwa ushoga ukubalike ama la, kwenye uislam ushoga ni kharam na adhabu yake kuuawa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…