Kwa hili Qatar wameupiga mwingi

Kwa hili Qatar wameupiga mwingi

Hakuna sema viongozi wa dini wengine wanashirikiana na serikali mfano yule papa anasapot live anaangusha dini tena public
Na keep akilini dhambi zitazidi kushamiri tu , miaka 10 ni mingi hapo hapo Qatar utakuta kuna mashoga tena wanatambuliwa kabisa na serikali kuna nguvu kubwa ambayo inasukuma agenda hii na haitashindwa na nchi yoyote ile
 
hawa hawawajui wadhungu, watu watabadilisha gear angani washangae, fasta wau wanasema ngoma ya world cup inapikwa pale wembley.
sasa wao wakati wana bid world cup walikuwa hawajui kuwa watu wa kila aina wataingia kwenye nchi yao? haya mambo ya kijinga sana. ni kutaka ugomvi na watu tuu bure. mambo ya boli na religion au siasa wapi na wapi jamani mbona wanataka kuspoil this beautiful game that has be bequeathed to us
Waislamu wanaendesha mambo kifarisayo yaani wanapenda kuonekana sana kuwa wao wanamjua Mungu sana wakati kimsingi dini ya aina hiyo haijawahi kufaulu
Dhambi inatibiwa kwa maombi mengi tena ya kina na yenye hoja zenye akili.
 
Dhambi haipingwi kwa kuweka sheria wala kumzuia mtu anayebeba mabendera tiba ya dhambi inaanzia ndani kabisa yaani moyoni mwa mtu

Hadi sasa duniani kote kuna watu wanatenda dhambi hiyo na hawajidhihirishi wazi ,Yesu alishasema
[emoji116]
15 Hakuna kitu kilicho nje ya mtu ambacho kikimwingia chaweza kumtia unajisi, bali vile vimtokavyo, ndivyo vimtiavyo unajisi yule mtu.
Marko 7:15

21 Kwa maana ndani ya mioyo ya watu hutoka mawazo mabaya, uasherati,
Marko 7:21

22 wivi, uuaji, uzinzi, tamaa mbaya, ukorofi, hila, ufisadi, kijicho, matukano, kiburi, upumbavu.
Marko 7:22

23 Haya yote yaliyo maovu yatoka ndani, nayo yamtia mtu unajisi.
Marko 7:23

Muslims eg.mimi sehemu ya kwanza kumwona shoga alikuwa ni mwislamu na ilikuwa hapo jijini Tanga nikashangaa mno maana nilidhani hayo mambo yapo huko ng'ambo kumbe yamo katika jamii zinazotuzunguka na wengine ni mashoga na wasagaji na wana heshima zao mtaani.

Though siungi mkono ishu hii bado nadhani dhambi haishindwi na kuzuiwa mabango , tena kuna uwezekano mkubwa wa dhambi kuwa kubwa zaidi kadri unavyopambana kuizuia kwa nguvu badala yake mwache Yesu awafundishe wasipojifunza basi ni sikio la kufa.
Saudia ilikuwa inazuia wanawake kuendesha magari leo hii isharuhusu [emoji23][emoji23]

Wafundishe wanao namna ya kujiepusha na dhambi ,nguvu za kimwili hazijawahi kuishinda dhambi.
Mbona kama comment yako ipo kuunanga uislam?
 
Waislamu wanaendesha mambo kifarisayo yaani wanapenda kuonekana sana kuwa wao wanamjua Mungu sana wakati kimsingi dini ya aina hiyo haijawahi kufaulu
Dhambi inatibiwa kwa maombi mengi tena ya kina na yenye hoja zenye akili.
Bangi haikufai mkuu, maombi yanayotibu watu ndio yale ya kukanyaga mafuta huko moshi na watu kufariki?
 
Ila huohuo uislamu inaona watu wanaoendelea kufa kwa kufanyishwa kazi ngumu kwa ujira kidogo nisawa tu?
 
Bangi haikufai mkuu, maombi yanayotibu watu ndio yale ya kukanyaga mafuta huko moshi na watu kufariki?
Tanzania ushoga umeshimir pwan na visiwan Zanzibar , tueleze kidg kwann ? au hawajui din?
 
Tanzania ushoga umeshimir pwan na visiwan Zanzibar , tueleze kidg kwann ? au hawajui din?
Sio kweli nin hakina ni propaganda punguza ujinga kaa ulete tafita tuangalie mashoga wangapi tuanzie watu maarufu kama sio wanaotokea kaskazini punguza propaganda leta evidence maana hujui hata pwani hujafika


Sipendi kubishana nataka evidence karibu
 
Tanzania ushoga umeshimir pwan na visiwan Zanzibar , tueleze kidg kwann ? au hawajui din?
Anaejiua dini hawezi kuwa shoga, ndio maana huwezi kuta kwenye uislam unajadiliwa ushoga ukubalike ama la, kwenye uislam ushoga ni kharam na adhabu yake kuuawa tu
 
Back
Top Bottom