Dhambi haipingwi kwa kuweka sheria wala kumzuia mtu anayebeba mabendera tiba ya dhambi inaanzia ndani kabisa yaani moyoni mwa mtu
Hadi sasa duniani kote kuna watu wanatenda dhambi hiyo na hawajidhihirishi wazi ,Yesu alishasema
[emoji116]
15 Hakuna kitu kilicho nje ya mtu ambacho kikimwingia chaweza kumtia unajisi, bali vile vimtokavyo, ndivyo vimtiavyo unajisi yule mtu.
Marko 7:15
21 Kwa maana ndani ya mioyo ya watu hutoka mawazo mabaya, uasherati,
Marko 7:21
22 wivi, uuaji, uzinzi, tamaa mbaya, ukorofi, hila, ufisadi, kijicho, matukano, kiburi, upumbavu.
Marko 7:22
23 Haya yote yaliyo maovu yatoka ndani, nayo yamtia mtu unajisi.
Marko 7:23
Muslims eg.mimi sehemu ya kwanza kumwona shoga alikuwa ni mwislamu na ilikuwa hapo jijini Tanga nikashangaa mno maana nilidhani hayo mambo yapo huko ng'ambo kumbe yamo katika jamii zinazotuzunguka na wengine ni mashoga na wasagaji na wana heshima zao mtaani.
Though siungi mkono ishu hii bado nadhani dhambi haishindwi na kuzuiwa mabango , tena kuna uwezekano mkubwa wa dhambi kuwa kubwa zaidi kadri unavyopambana kuizuia kwa nguvu badala yake mwache Yesu awafundishe wasipojifunza basi ni sikio la kufa.
Saudia ilikuwa inazuia wanawake kuendesha magari leo hii isharuhusu [emoji23][emoji23]
Wafundishe wanao namna ya kujiepusha na dhambi ,nguvu za kimwili hazijawahi kuishinda dhambi.