KWA HILI SINABUDI KUIPONGEZA OFISI YA UHAMIAJI MKOA WA MWANZA.

KWA HILI SINABUDI KUIPONGEZA OFISI YA UHAMIAJI MKOA WA MWANZA.

Msekule

Member
Joined
May 14, 2019
Posts
86
Reaction score
75
Naipongeza sana ofisi ya uhamiaji mkoa wa mwanza kwa kazi nzuri wanayoifanya, kiukweli makamanda wote wa ofisi hiyo ni wachapakazi na wanajua kutoa huduma nzur kwa wateja.

Yapata wiki sasa tangu nilipofika pale kwa ajili ya kufanya mchakato wa kupata paspoort ya kielectronic, baada ya kufika pale nilieleza shida yangu na kuhudumiwa na dada mmoja hivi anaetoa ushauri mzuri ni kipi kinatakiwa ili upate hati iyo.

Baada ya kuniskiliza aliniambia vitu vinavyoitaji na mm nilikuwa nimwekwenda pale ni kiwa full documentation, nilikwenda kujaza online nikalipia na kuplint nakuambatanisha vielelezo vyangu pamoja na picha.

Alikagua na kujilidjisha na ndipo aliponiambia niende ndan ya cku mbili atanipigia simu ili niende kupiga picha na fingerprint then kulipia.

Haikupita cku mbili nilienda kulipia na kupiga picha na sasa nasubr tu GAMBA langu kwa ajili ya kuluka ugaibuni tukasake maisha.

MIGRATION MWANZA OYEEEEEEEE
 
Kimekaa vp mkuu,
Kuruka, kuprint, ughaibuni. Matumizi ya rrrrr, sasa huko "ugaibuni" ukiwa matumiz ya r na l yanakupiga chenga sijui itakuaje, maana herufi moja inabadilisha maana ya neno mfano "let's pray na let's play" Otherwise hongera kwa mafanikio yako
 
Walihitaji documents zipi ili kuprocess hyo passport mpya?na je passport ya zamani Sasa hivi haifai kusafiria kwa Sasa?
 
Kuruka, kuprint, ughaibuni. Matumizi ya rrrrr, sasa huko "ugaibuni" ukiwa matumiz ya r na l yanakupiga chenga sijui itakuaje, maana herufi moja inabadilisha maana ya neno mfano "let's pray na let's play" Otherwise hongera kwa mafanikio yako
Huyu ni msukuma,wasukuma hawana "r" Bali wana "l",so inapohitajika kutumia r atatumia "l"
 
Huyu ni msukuma,wasukuma hawana "r" Bali wana "l",so inapohitajika kutumia r atatumia "l"
Wasukuma wamekuaje? Makosa yangu ya kiuandishi yanaingilianaje na kabila la wasukuma.
Unajua sisi watanzania bado tunamambo ya kishamba sana ndo nyie mnaojidai mmesoma degree zenu na mmebaki ku kukosoa wengine kanakwamba nyie haukosei.

Kama walikwambia ughaibuni wanaangali kiswahili chetu aya mkuu, Mungu akubariki sana yawezekana wewe ni malaika mkuu kila unachofanya kipo sahihi.
 
Mwambie cku rafiki yako ambaye Hana kabsa pasipoti aende akafanye mchakato wa kupata hyo ktu then aje kutupa mrejessho hapa
 
Wasukuma wamekuaje? Makosa yangu ya kiuandishi yanaingilianaje na kabila la wasukuma.
Unajua sisi watanzania bado tunamambo ya kishamba sana ndo nyie mnaojidai mmesoma degree zenu na mmebaki ku kukosoa wengine kanakwamba nyie haukosei.

Kama walikwambia ughaibuni wanaangali kiswahili chetu aya mkuu, Mungu akubariki sana yawezekana wewe ni malaika mkuu kila unachofanya kipo sahihi.
Cjasema umekosea mkuu,mm ndo nilikua namweka sawa aliekukosoa,nilichosema ni sawa na kusema neno la kiswahili haliwezi kuishia ba consonant(cjui kiswahili sahihi cha consonant au kusema wakurya hawana "l".
 
Back
Top Bottom