sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Taarifa nilizozipata toka Blog ya Bin Zubeiry ni kua kocha Mkuu wa Azam Stewart Hall amegoma kuwasajili wachezaji Nelson Lukong toka Cameron na Alan Watende Wanga kwa madai kua lazima wafanye majaribio, ili awaone. Huku wachezaji hao wakigoma kwa madai kua wao sio wakufunya majaribio.
Sterwart ameonesha ni jinsi gani alivyo na msimamamo, na nadhani hata kipindi kile anaondoka, alikua anepukana na huu uswahili. Kama nasi tungekua na mfumo kama huu, tungeondokana na magarasa kama KANU Mbiyavanga, Paschal Ochieng' na Daniel Akufo.
Naimani usajili wa dirisha Dogo msimu ujao, nasi tutaiga haka kamfumo.
Sterwart ameonesha ni jinsi gani alivyo na msimamamo, na nadhani hata kipindi kile anaondoka, alikua anepukana na huu uswahili. Kama nasi tungekua na mfumo kama huu, tungeondokana na magarasa kama KANU Mbiyavanga, Paschal Ochieng' na Daniel Akufo.
Naimani usajili wa dirisha Dogo msimu ujao, nasi tutaiga haka kamfumo.