Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,663
hao wamachinga unaowaonawapumbavu wanamitaji mikubwa tu,wanaingiza kipato kikubwa kuliko wewe uliyesoma,unayejiona geniuos kapukuWatu ni vilaza sana, ambacho baadhi ya machinga wanafikiri nchi ilikua ya Magufuli . huu ni Utawala mwingine,
Mamlaka ya Nchi yako kwa
Bi.Samia Suluhu Hassan utawala wa magufuli ulishaisha, kikubwa watu tuache mambo ya kale tuende na wakati.
Na bado subirini huko sokoni mnakopelekwa ushuru wa soko unawafata, kila iitwapo leo.
Endeleeni kumkumbuka wakati wengine wanasonga mbele, Yeye Magufuli mbona alifanya kinyume na watangulizi wake pia na kuwaambia wanawashwa washwa? Ujinga wenu wa kujifanyia biashara holela bila kufuata utaratibu umekwenda na huyo jamaa yenu, hauna nafasi awamu hiiMagufuli alitupa uhuru sana. Tukafanya biashara sehemu yeyote. Alituambia hata kama Ikulu kuna sehemu ya wazi tukafanye biashara.
Kinachoendelea kwa huyu Mama ni noma! Serikali yake inafanya kinyume na ya Magufuli. Magufuli tutakukumbuka sana baba r.i.p
View attachment 1955532
Mali bila hekima ni ujinga tu, unakua na mali halafu huna hekima ya kuifanyia mahali salama, likikupata jambo utamwambia nani akusikilize?hao wamachinga unaowaonawapumbavu wanamitaji mikubwa tu,wanaingiza kipato kikubwa kuliko wewe uliyesoma,unayejiona geniuos kapuku
Wamachinga wanazuia kila eneo. Kuanzia kwa watembea kwa miguu mpaka kwenye maduka ya watu. Ukiona bodaboda, ambao pia wanapaki kila wanapoona panafaa, lazima mama ntilie awepo. Hakuna utaratibu na hili ni tatizo kubwa sanaMagufuli alitupa uhuru sana. Tukafanya biashara sehemu yeyote. Alituambia hata kama Ikulu kuna sehemu ya wazi tukafanye biashara.
Kinachoendelea kwa huyu Mama ni noma! Serikali yake inafanya kinyume na ya Magufuli. Magufuli tutakukumbuka sana baba r.i.p
View attachment 1955532
Pumbavu sana, uhuru gani huo wa kuziba barabaraMagufuli alitupa uhuru sana. Tukafanya biashara sehemu yeyote. Alituambia hata kama Ikulu kuna sehemu ya wazi tukafanye biashara.
Kinachoendelea kwa huyu Mama ni noma! Serikali yake inafanya kinyume na ya Magufuli. Magufuli tutakukumbuka sana baba r.i.p
View attachment 1955532
JPM alikuwa ni baba kweli kweli. Ila hili la wamachinga alikuwa anatengeneza bomu. lazima angekuja kupambana nalo mbele ya safari.Endeleeni kumkumbuka wakati wengine wanasonga mbele, Yeye Magufuli mbona alifanya kinyume na watangulizi wake pia na kuwaambia wanawashwa washwa? Ujinga wenu wa kujifanyia biashara holela bila kufuata utaratibu umekwenda na huyo jamaa yenu, hauna nafasi awamu hii
kwahiyo kama unategemewa unaruhusiwa kwenda mbele ya duka la mtu ukaweka bidhaa zako au unaenda kwenye shamba la mtu unalima au kuvuna mazao yakehuu ni uzi kama uzi mwingine unahaki ya kuchangia au kuacha,kama unaona li kipumbavu ni wewe kivyako,kwani hao machinga wanaona furaha wanavyofanyiwa,kama kukaa sehemu isiyo husika ni kuvunja sheria,kwanini serikali wasingewatafutia mahali pengine wafanye biashara zao, sio kuwavunjia wewe unadhani nyuma ya hao wamachinga wanawatu wangapi wanao wategemea?usifosi taarabu kumenya muwa
mambo mengi yanafanywa kwa ajili ya kura mkuuHaa Haa Haa
Wapiga Kura Wangu
JPM alikuwa ni baba kweli kweli. Ila hili la wamachinga alikuwa anatengeneza bomu. lazima angekuja kupambana nalo mbele ya safari.
Sio busara nchi ikawa na umachinga usioratibiwa
kila zama na kitabu chake mkuu mlipewa uhuru mkauchezea mkafanya mji uwe mchafu kupindukiaMagufuli alitupa uhuru sana. Tukafanya biashara sehemu yeyote. Alituambia hata kama Ikulu kuna sehemu ya wazi tukafanye biashara.
Kinachoendelea kwa huyu Mama ni noma! Serikali yake inafanya kinyume na ya Magufuli. Magufuli tutakukumbuka sana baba r.i.p
View attachment 1955532