fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
kwa taarifa yako hakuna tatizo ambalo mama halioni,anaona kila kitu,na juhudi anazofanya ni kubwa sana kurekebisha na kutatua hayo matatizo,elewa nchi ina matatizo mengi,na uwezo wa kifedha sio mkubwa,tuvumilie tuUmeme umekuwa shida kuu hapa nchini, kila kona ni vilio kutokana na uhaba wa umeme.
Mama hasikii kilio cha wanae, tumekuwa watoto yatima ingawa tunaye mzazi.
Nani atakuja kusikia kilio cha watanzania kutokana na uhaba wa umeme?