Sir M.D.Andrew
JF-Expert Member
- Jul 30, 2012
- 201
- 37
Hawafanyi field baadhi ya kozi, wewe vipi? Umesahau kwamba mpaka sasa ule mgogoro wa UDOM na wanafunzi wa International Relations walioambiwa course yao haina field bado haujaisha? Kuna kozi kama Development Studies pia hawafanyi fieldField wanafanya, hii sio habari ya ukweli.sijui umeitoa gazeti lipi
Yani elimu yake ya uprofesa ni kozi ya kiswahili!Tatizo si udogo tatizo ni kumpa profesa wa kiswahili kuongoza finance department, na mkuu wa chuo kuwa prof wa kiswahili, dunia nzima ni Tanzania tuuu.
Tatizo si udogo tatizo ni kumpa profesa wa kiswahili kuongoza finance department, na mkuu wa chuo kuwa prof wa kiswahili, dunia nzima ni Tanzania tuuu.
Chuo kikuu cha DODOMA kimeshindwa kutoa TRANSCRIPT kwa wanafunzi waliohitimu katika chuo hicho mwezi Juni 2012.
Wengi wao wanapoomba kazi wanatumia STATEMENT OF RESULTS ambayo haitambuliki kitaifa na kimataifa na hivyo wahitimu wengi kukosa kazi.
Vile vile hata wanafunzi waliohitimu shahada ya elimu ktk baadhi ya Halmashauri zimeshindwa kuwaajiri na kuwaambia walimu hao kuwa hawataingizwa kwenye pay roll mpaka wawe na TRANSCRIPT.
Hivi hiki chuo kinaandaaje watu bila kuwapa vyeti vyao kwa muda muafaka?
Chuo kikuu cha DODOMA
kimeshindwa kutoa TRANSCRIPT kwa wanafunzi waliohitimu katika chuo hicho
mwezi Juni 2012.
Wengi wao wanapoomba kazi wanatumia STATEMENT OF RESULTS ambayo
haitambuliki kitaifa na kimataifa na hivyo wahitimu wengi kukosa kazi.
Vile vile hata wanafunzi waliohitimu shahada ya elimu ktk baadhi ya
Halmashauri zimeshindwa kuwaajiri na kuwaambia walimu hao kuwa
hawataingizwa kwenye pay roll mpaka wawe na TRANSCRIPT.
Hivi hiki chuo kinaandaaje watu bila kuwapa vyeti vyao kwa muda
muafaka?
hiki chuo nacho ni janga la kimataifa maana kimegharimu fedha nyingi na wanachuo wake hata field hawafanyi kweli ni quantity not quality na wanasiasa waliokianzisha wala hawakijali
Wewe ndo mjinga, Tangu mwez wa sita 2012 hadi sasa hivi chuo kiko kimya. Imebaki miezi miwili wahitimu wanafunzi wengine. Kwa maana yako ya taratibu unataka chuo kirundike wahitimu mitaani bila vyeti? Mfano wako ulioutoa ni butu hauna maana yoyote au unafurahia chuo kinapochezea maisha ya watu?Acha ujinga kila jambo linaenda taratibu huwezi kuzalia leo na kutembea mara moja.
Ukiwa na familia yenye watu watatu, kisha kutokana na ugumu wa maisha ukanunua mkate unaomtosha mtu mmoja, je utaula wote wewe kama baba wa familia na kuiacha familia akiteketea kwa njaa, ama utagawana na wanao?hao waliopata TRA itakuwa ni hizi ajira za kujuana pia hata kama ni kichanga yanini kukimbilia macallege kibao ivo wakati hamwezi kuyahudumia yote? Ni bora wangeanza na college moja na ikakamilika kila idara
Mkuu wewe tulia tu, nyonya taratibu usipige kelele, wakishastuka walikuwa wakipiga makelele mengi ya majigambo pengine ya vyou walivyosoma japo navyo ni yaleyale, wewe utakuwa umeshameki! Bongo ya leo siyo ya kufuata mikumbo! Hakuna ujamaa tena, wewe fanya yako na nimeshuhudia wana UDOM wengi tu wakifanya vizuri tena zaidi ya waliotokanimaliza UDOM sikuwa na Transcript wala nini na nimekula shavu kwa raha zangu wewe endelea kupiga miluzi kama mchunga ng'ombe!
ujinga ni kukubali kuwa sehemu ya majaribio, hongera<br />By Naibili<br />
Tatizo si udogo tatizo ni kumpa profesa wa kiswahili kuongoza finance department, na mkuu wa chuo kuwa prof wa kiswahili, dunia nzima ni Tanzania tuuu.
<br />
<br />
Acha ujinga kila jambo linaenda taratibu huwezi kuzalia leo na kutembea mara moja.
Tatizo si udogo tatizo ni kumpa profesa wa kiswahili kuongoza finance department, na mkuu wa chuo kuwa prof wa kiswahili, dunia nzima ni Tanzania tuuu.
Hichi ni chuo cha kata!