Kwa hili, UDOM ni chuo KIKUBWA na si CHUO KIKUU

Kwa hili, UDOM ni chuo KIKUBWA na si CHUO KIKUU

KALYABUNUNU

Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
21
Reaction score
7
Chuo kikuu cha DODOMA kimeshindwa kutoa TRANSCRIPT kwa wanafunzi waliohitimu katika chuo hicho mwezi Juni 2012.

Wengi wao wanapoomba kazi wanatumia STATEMENT OF RESULTS ambayo haitambuliki kitaifa na kimataifa na hivyo wahitimu wengi kukosa kazi.

Vile vile hata wanafunzi waliohitimu shahada ya elimu ktk baadhi ya Halmashauri zimeshindwa kuwaajiri na kuwaambia walimu hao kuwa hawataingizwa kwenye pay roll mpaka wawe na TRANSCRIPT.

Hivi hiki chuo kinaandaaje watu bila kuwapa vyeti vyao kwa muda muafaka?
 
Chuo kikuu cha DODOMA kimeshindwa kutoa TRANSCRIPT kwa wanafunzi waliohitimu katika chuo hicho mwezi Juni 2012.

Wengi wao wanapoomba kazi wanatumia STATEMENT OF RESULTS ambayo haitambuliki kitaifa na kimataifa na hivyo wahitimu wengi kukosa kazi.

Vile vile hata wanafunzi waliohitimu shahada ya elimu ktk baadhi ya Halmashauri zimeshindwa kuwaajiri na kuwaambia walimu hao kuwa hawataingizwa kwenye pay roll mpaka wawe na TRANSCRIPT.

Hivi hiki chuo kinaandaaje watu bila kuwapa vyeti vyao kwa muda muafaka?


Kwasababu KIMEJENGWA na WACOMMUINIST WACHINA hawajali QUALITY only QUANTITY... ndio Tatizo tulilonalo la TAZARA; Madaraja MATATU (JK BRIDGES)
 
mmhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh hiki chuo mbona kuntu tupu
 
ila wapo walio pata ajira TRA juz kwa hayo matokeo....
ila udom bado ni chuo kichanga sana hivyo sio jambo la kushangaza
 
Inabidi wajipange maana watakuwa hawawatendei haki wenye kuitaji hizo transcript
 
Kweli pale UDOM kuna mambo mengine yanashangaza. Nikukosa uwajibikaji na watu kujua wapo pale kwa ajili ya hao wanafunzi. Kama hawapo hizo ajira zao zote hazina maana, lack of such link ndio maana wahusika wanajifanya miungu watu. shame on them.
 
hiki chuo nacho ni janga la kimataifa maana kimegharimu fedha nyingi na wanachuo wake hata field hawafanyi kweli ni quantity not quality na wanasiasa waliokianzisha wala hawakijali
 
Chuo kikuu cha DODOMA kimeshindwa kutoa TRANSCRIPT kwa wanafunzi waliohitimu katika chuo hicho mwezi Juni 2012.

Wengi wao wanapoomba kazi wanatumia STATEMENT OF RESULTS ambayo haitambuliki kitaifa na kimataifa na hivyo wahitimu wengi kukosa kazi.

Vile vile hata wanafunzi waliohitimu shahada ya elimu ktk baadhi ya Halmashauri zimeshindwa kuwaajiri na kuwaambia walimu hao kuwa hawataingizwa kwenye pay roll mpaka wawe na TRANSCRIPT.

Hivi hiki chuo kinaandaaje watu bila kuwapa vyeti vyao kwa muda muafaka?

ni chuo cha ccm na mambo yake yanaenda ki ccm kwamba mambo yake hayatimiliziki hata cku moja zaidi ya kupiga tarehe tu.
 
ila wapo walio pata ajira TRA juz kwa hayo matokeo....
ila udom bado ni chuo kichanga sana hivyo sio jambo la kushangaza

hao waliopata TRA itakuwa ni hizi ajira za kujuana pia hata kama ni kichanga yanini kukimbilia macallege kibao ivo wakati hamwezi kuyahudumia yote? Ni bora wangeanza na college moja na ikakamilika kila idara
 
Hii inasikitisha sana .Chakushangaza ni kuwa gharama za hizo transcripts zishatafunwa
 
hicho chuo au choo maana ukubwa wa chuo sio wingi wa material ukiangalia kilianzishwa kisiasa zaidi, wengi wao wako empty sana kwenye vichwa vyao
 
Sio UDOM tu, kwani wale wa chuo kikuu cha udaktari BUGANDO wamepewa.Hata wenyewe hawajapewa mpaka leo,tangu wahitimu august 2012.Ukiwauliza watawala wanasema bado hawajapata karatasi za kuchapishia vyeti.Wizi mtupu
Chuo kikuu cha DODOMA kimeshindwa kutoa TRANSCRIPT kwa wanafunzi waliohitimu katika chuo hicho mwezi Juni 2012.

Wengi wao wanapoomba kazi wanatumia STATEMENT OF RESULTS ambayo haitambuliki kitaifa na kimataifa na hivyo wahitimu wengi kukosa kazi.

Vile vile hata wanafunzi waliohitimu shahada ya elimu ktk baadhi ya Halmashauri zimeshindwa kuwaajiri na kuwaambia walimu hao kuwa hawataingizwa kwenye pay roll mpaka wawe na TRANSCRIPT.

Hivi hiki chuo kinaandaaje watu bila kuwapa vyeti vyao kwa muda muafaka?
 
Field wanafanya, hii sio habari ya ukweli.sijui umeitoa gazeti lipi
hiki chuo nacho ni janga la kimataifa maana kimegharimu fedha nyingi na wanachuo wake hata field hawafanyi kweli ni quantity not quality na wanasiasa waliokianzisha wala hawakijali
 
ila wapo walio pata ajira TRA juz kwa hayo matokeo....
ila udom bado ni chuo kichanga sana hivyo sio jambo la kushangaza

Tatizo si udogo tatizo ni kumpa profesa wa kiswahili kuongoza finance department, na mkuu wa chuo kuwa prof wa kiswahili, dunia nzima ni Tanzania tuuu.
 
Back
Top Bottom