Kwa hili Udom panatisha

We umeenda chuoni kusoma hayo mambo ya udini yanakuhusu nn? tatizo watu tunashindwa kuelewa purpose inayotupeleka chuoni...unahangaiiika,ukija mtaani hawaangalii ulikuwa unateteaje udini wanachotaka ni uwezo wako wa kufanya kazi.dini ikusaidie kutenda mema c kuanza kuwaza tuko waislam au wakristo wangap? hata wangekuwa wote waislam au wakristo academic yako inaathirikaje?
 
nguvu ya soda ina mwsho wake! mkutano wa uamsho coed ulfanikiwa kuwaingza weng bungen lakin mbna hyo nguvu ha2kuiona tena 2013? akina kilingo, mtono, iddi na wenzao vichwa chni baada ya mpango wao wa hujuma kugundulika. aibu yaooooo! dini haitakupeleka ppote ndgu yangu pga buku get good grades and improve ur skills 2 compete in global employment markets. siasa hujui na darasani mbulula ss 2kupeleke wapi! nut!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…