Kwa hili wanawake mnatupatia kweli.

Daby

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
33,894
Reaction score
76,810
Kwa hapa nawapa heko. Utakutana na mdada mtakuwa na mazungumzo tu ya kawaida. Utataka umjue japo kidogo...

Lahaulah ukiuliza miaka atakuambia 21 au Im turning 24 next month uso mkavu anakukazia sura.

Hapo inabidi ukubali tu maana hukumzaa ila moyoni unajichekee hiiii. Halafu wajanja kweli huwa hawaendi mbali wwbacheza kwenye 21-32. Huyu wa 32 ujue anakaribiana na 45.

Huyu wa 24 ndiyo kasogea 32. Wazee nyie yanawakuta au nadanganywa mwenyewe tu?

NB: mwanamke haulizwi umri ila bora usahau jina lake sio siku yake ya kuzaliwa.
 
Mimi nimeamua kukopi ya Emanuel Macron. Ninaishi na ajuza ni mtamu kweli ananipa yote. Menses zimeshakoma, ila yuko soft kama Angellah Jasmin Kairuki (nae pia namzimia kweli ila sijapata wasaa wa kumtamkia) ni MWENDO wa 25 v/s 45

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo wa kwanza kusheherekea mwaka mpya na mbwembwe kibao. Utaona status za wasap kama round about ya (Ccm pale Mwanza) ila kadri mwaka unavyosogea wanaanza kuwa kama wamekunywa tindikali.

Siku moja nikaona mmoja ameandika mtandaoni forever young! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nikajiuliza uyoung wake uko wapi kama Bolo Yang tu kazeeka iwe yeye.

Ashley Young licha ya kuwa mwanaume ila kwa sasa umri umemgeukia. Wanawake wasiojishaua huwa wanakuwa na sura nzuri sana ambazo hazizeeki.
 
Hebu kwanza tuanze na wewe. We una miaka mingapi?

Hili la kuficha umri mnawaonea bure wadada wa watu. Midume kibao pia inaficha umri wao. Mpaka leo sijajua kwanini.

Ila ukweli utabakia palepale... utaficha umri lakini huwezi kuficha uzee. Mwisho wa siku wote tutalala chini ya dongo la si chini ya tani saba.
 
Mwingine anakwambia umri wake ni 22-27 anakuachia nafasi ya shehe yahaya uanze kuwa mtabiri

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Mbona mimi nimekutajia miaka yangu ya ukweli lkn

Be Humble is free of charge [emoji873]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…