Kwa hili wanawake tunakosea sana

Kwa hili wanawake tunakosea sana

Unaamua kuwa na mchepuko,unamficha mume wako kwa miezi kadhaa bila yeye kujua

Unanogewa na penzi la mchepuko,na mapenzi kikohozi taratibu inaanza kufahamika una mwanaume mwingine

Mmeo anakubana kuhusu huo usaliti,unaona ni kero unaamua kumwambia mchepuko akutoe akupangishie,utoke kwa mume wako na ikumbukwe una watoto na mume wako

Mchepuko anakupangishia na unaondoka na watoto wako wawili,mchepuko unakushawishi ubadilishe majina ya kuzaliwa ya watoto,unaenda Rita ,unabadilisha majina yanakuwa ya mchepuko

Baada ya miaka 2,mchepuko anaoa binti au mwanamke mwingine ambaye hajawahi kuolewa anakuacha kwenye mataa na watoto wako,unaanza kulia mitaani unaomba msaada usaidiwe urudi kwa mume wako wa awali

Muda mwingine wanawake hatuna akili ya kufikiria

Ni kisa cha kweli kimetokea mtaani kwetu

Na kumbe wanaume ambao waliwahi kuoa wakashindana na wake zao,wanaongoza kuwadanganya wanawake waliomo kwenye ndoa,na ndio wanaongoza kuchepuka na wake za watu
Nimestuka yaani the same scenario imetokea mtaani kwetu mpaka nikahisi tunakaa mtaa mmoja niniii....ila tofauti imekuja kwenye idadi ya watoto...huyu hapa mtaani kwetu ana mtoto mmoja ila pia hajabadilisha ubini wa mtoto (jina la baba mtoto)
Ila jamaa hajafanya ajizi mkewe alivoondoka tu (baada ya miezi 3) akaleta pini moja kali mpaka aibu.
Mchepuko kamtelekeza mke wa jamaa juzi kati tu.
Hatari sana!! Saivi vijana wanajichapia tu ili apate matumizi walau.
 
Unaamua kuwa na mchepuko,unamficha mume wako kwa miezi kadhaa bila yeye kujua

Unanogewa na penzi la mchepuko,na mapenzi kikohozi taratibu inaanza kufahamika una mwanaume mwingine

Mmeo anakubana kuhusu huo usaliti,unaona ni kero unaamua kumwambia mchepuko akutoe akupangishie,utoke kwa mume wako na ikumbukwe una watoto na mume wako

Mchepuko anakupangishia na unaondoka na watoto wako wawili,mchepuko unakushawishi ubadilishe majina ya kuzaliwa ya watoto,unaenda Rita ,unabadilisha majina yanakuwa ya mchepuko

Baada ya miaka 2,mchepuko anaoa binti au mwanamke mwingine ambaye hajawahi kuolewa anakuacha kwenye mataa na watoto wako,unaanza kulia mitaani unaomba msaada usaidiwe urudi kwa mume wako wa awali

Muda mwingine wanawake hatuna akili ya kufikiria

Ni kisa cha kweli kimetokea mtaani kwetu

Na kumbe wanaume ambao waliwahi kuoa wakashindana na wake zao,wanaongoza kuwadanganya wanawake waliomo kwenye ndoa,na ndio wanaongoza kuchepuka na wake za watu
Kama.mwanamke anaweza kuacha mume wake na watoto vipi wewe uliyemchukua si anaweza kufanya hayo hayo?? Karma never forget wa kumla.
 
Inasikitisha saana kwa kweli!

Mwanamke, ukitumia akili na fedha kiasi kumhadaa; atakubali hata kwa mambo yasiyowezekana katika dunia hii.
Hasa akikolezwa na penzi la nje.

Sasa hapo ndipo anayaona makosa yake.
Chanzo cha yote haya ni kupenda pesa na maisha marahisi kupindukia, kibri ya kufanya hayo ni ile uhakika kiwa Bwana mpya ana pesa na uwezo wa kumtunza yeye na wanaye.
 
Nimestuka yaani the same scenario imetokea mtaani kwetu mpaka nikahisi tunakaa mtaa mmoja niniii....ila tofauti imekuja kwenye idadi ya watoto...huyu hapa mtaani kwetu ana mtoto mmoja ila pia hajabadilisha ubini wa mtoto (jina la baba mtoto)
Ila jamaa hajafanya ajizi mkewe alivoondoka tu (baada ya miezi 3) akaleta pini moja kali mpaka aibu.
Mchepuko kamtelekeza mke wa jamaa juzi kati tu.
Hatari sana!! Saivi vijana wanajichapia tu ili apate matumizi walau.
Kashakuwa Single mother tayari. Tamaa hizi zinawaua wanawwake.
 
Umegusa penyewe, utaona mapovu ya Wanaume dhaifu walioachwa na Wanawake.
 
alafu unasikia," ...yani wanaume wa siku hiziii...ni wahuniiiiii......"
Sio wahuni sisi wanaume ninyi mnajua sana kukabiliana na hilo ndipo hukupata yale unayoyaita wanaume ni wahuniii kuwa mstarabu upate mema ya mume
 
kweli mwanamke anabadilisha na majina ya watoto....... na huyo mme mkuu na yeye yuko wapi......??? hata na mmewe ni bwege tuu........
 
Men have no expiry date, Mwanamke akicheat huamisha moyo na kila kitu huko they don't use brain. Wanasahau

kwamba wao huweza kupoteza urembo wao ndani ya muda mfupi kutokana na uzazi au umri compare na wanaume,

Alifikiri kuhama kwa mbwembwe ni kukimbilia nchi yenye maziwa na asali na kumwona mmewe hana jipya ndo ujanja

et leo anatafuta msaada wa kumrudisha kwenye chaka la kujifichia ili apate mpenzi mwingine, du!,,
Naamini maneno yako
 
Back
Top Bottom